Muimba wa Gospel Bela Kombo jitafakari, mavazi yako si ya Staha

Muimba wa Gospel Bela Kombo jitafakari, mavazi yako si ya Staha

Mhm mbona huyo bela mavazi yake yapo vizuri sana , sioni tatizo lake kwa picha zake zote.
IMG-20250225-WA0000.jpg
 
Unajua kuimba lakini ni lazima ufahamu kwamba, Mavazi ya kubana nyama hayakubaliki kwa Watumishi wa Mungu, Unataka kumuonyesha nani hayo maungo yako na ili iweje?

Huwezi kuvaa kama Rihanna halafu ukamtukuza Mungu, iko mipaka kati ya watu wa Dunia na wacha Mungu.

Nakukemea, Badilika haraka .

Vepe hiyo tatoo kifuani
 
Unajua kuimba lakini ni lazima ufahamu kwamba, Mavazi ya kubana nyama hayakubaliki kwa Watumishi wa Mungu, Unataka kumuonyesha nani hayo maungo yako na ili iweje?

Huwezi kuvaa kama Rihanna halafu ukamtukuza Mungu, iko mipaka kati ya watu wa Dunia na wacha Mungu.

Nakukemea, Badilika haraka .

mtalaka huyu labda anatafuta my husband wake mwingine yupo sokoni Biashara matangazo
 
Mkuu Hawa waimbaji

Usiku sioo watu kabisa nakupa info tu

KUNA kadada kalikuwa kanaimba mbaya Kanisa Moja la kikole

Sikuhio sinza kakaingia na jamaa m nimekaa SEHEMU nasubiria room

Kakaambiwa. KUNA single AKAINGIA hivyohivyoo

Sasa na mm nilikuwa na mgodi aujiamini nikaomba dogo ukiona single njoo

Nkapelekwa PEMBEN Binti anapoziniiiiiiii na xxxxxx

Shuhuli wakati WA kuoga vyoo vvua Nje ya chumba wewee naingia mtoto Anatoka kuogaa nkampa hi lily akajibu poa didy

Weweee nawaheshimu Hawa NAWAJUA mbayaa

Alichezea spika mpaka usiku...pale na mm natoka na mzigo nae ukatoka tukachuniana kama atusali Kanisa Moja

Baadae nikarudi Kanisa langu halisi loh
Rahisisha hii story yako tuelewe kwa umakini zaidi
 
Mkuu Hawa waimbaji

Usiku sioo watu kabisa nakupa info tu

KUNA kadada kalikuwa kanaimba mbaya Kanisa Moja la kikole

Sikuhio sinza kakaingia na jamaa m nimekaa SEHEMU nasubiria room

Kakaambiwa. KUNA single AKAINGIA hivyohivyoo

Sasa na mm nilikuwa na mgodi aujiamini nikaomba dogo ukiona single njoo

Nkapelekwa PEMBEN Binti anapoziniiiiiiii na xxxxxx

Shuhuli wakati WA kuoga vyoo vvua Nje ya chumba wewee naingia mtoto Anatoka kuogaa nkampa hi lily akajibu poa didy

Weweee nawaheshimu Hawa NAWAJUA mbayaa

Alichezea spika mpaka usiku...pale na mm natoka na mzigo nae ukatoka tukachuniana kama atusali Kanisa Moja

Baadae nikarudi Kanisa langu halisi loh
😆😆😆😆
 
Mimi huyu dada sijawahi mwamini kama kweli anamsifu Mungu wake ...huyu kajchomeka upande huo coz aliharibu sana cv yake .juzi kwenye uzinduzi wa Duka la Christna Shusho alivaa jumpsuit imemchora toe camel balaa...argh kichrfchefu
Camel toe
 
Acheni kufanya maisha ya kumsifu Mungu kuwa magumu.
Vitabu vyenu vinasema binadamu wa kwanza walikuwa wanaishi na kutembea bila nguo kabisa ndani ya bustani.

Mungu mwenyewe alipenda binadamu awe hivyo Hadi alipokosea mwanadamu kutaka ujuaji Kama wako huu wa kujiona yupo uchi.
Mungu akamuuliza Adam Nani kakuambia upo uchi?
 
Unajua kuimba lakini ni lazima ufahamu kwamba, Mavazi ya kubana nyama hayakubaliki kwa Watumishi wa Mungu, Unataka kumuonyesha nani hayo maungo yako na ili iweje?

Huwezi kuvaa kama Rihanna halafu ukamtukuza Mungu, iko mipaka kati ya watu wa Dunia na wacha Mungu.

Nakukemea, Badilika haraka .

Wivuuuuuuu
Wivu mama wivu
Wivuuuuuuu🎼🎼🎼
 
Unajua kuimba lakini ni lazima ufahamu kwamba, Mavazi ya kubana nyama hayakubaliki kwa Watumishi wa Mungu, Unataka kumuonyesha nani hayo maungo yako na ili iweje?

Huwezi kuvaa kama Rihanna halafu ukamtukuza Mungu, iko mipaka kati ya watu wa Dunia na wacha Mungu.

Nakukemea, Badilika haraka .

Unamaanisha vazi kwenye hiyo picha?

Nakukemea, acha afanye anachowasiliana na Mungu wake. Vipi ikiwa Mungu wake na wako ni tofauti halafu unamkemea kwa viwango vya Mungu wako?
 
Unajua kuimba lakini ni lazima ufahamu kwamba, Mavazi ya kubana nyama hayakubaliki kwa Watumishi wa Mungu, Unataka kumuonyesha nani hayo maungo yako na ili iweje?

Huwezi kuvaa kama Rihanna halafu ukamtukuza Mungu, iko mipaka kati ya watu wa Dunia na wacha Mungu.

Nakukemea, Badilika haraka .

Unamlaumu kabla au baada ya kuo
images-2.jpeg
koka?!
 
Back
Top Bottom