Muislamu anayefariki Hijja

Muislamu anayefariki Hijja

Endapo ukifa Makka au madina katika Hija huwa minafaizina

Aya ambazo zinaelezea neema za peponi kwa waumini:

  1. Surat Al-Waqi'ah (Sura ya 56), Aya 22-24:
    "Na wao watakuwa juu ya mito inayotiririka, na matunda ya wao watakavyo kuwa wakiyapenda. Na nyama ya ndege watakapo kuwa wakiyataka. Na wenye sura ya umri wakiwa wakiyaketi kwa makochoko."
    Aya hii inatoa picha ya anasa za peponi, ikiwa ni pamoja na mito inayotiririka, matunda, na vyakula vya kila aina ambavyo waumini watapata katika peponi.
  2. Surat Ar-Rahman (Sura ya 55), Aya 54-56:
    "Kila mmoja kati yao atakuwa na kile alicho nacho. Na Mola wako Mlezi atawawapa wao nini walicho zidi kuhisi. Na wao watakuwa na matunda na wanachagua."
    Aya hizi zinaelezea kwamba Mwenyezi Mungu atawazidishia waumini wake kila wanachokitaka na wanachohisi, na watapata neema bila ukomo katika peponi.
Mito ya mvinyo na mabikra 72 ipo haipo ?
 
Kweli kabisa mkuu, kuna uhuni na usanii mwingi wa kulaghai na kuhadaa watu kuhusu hayo mawazo ya wachache walioyarasmisha na kuyaita dini ya haki.
Msema kweli ndie kipenzi cha Mungu.
 
  • Thanks
Reactions: K11
Uislam raha sana, ukiwa nje ya uislam utaichukia uislam lkn ukinngia roho inakuwa nyepesi. maana ukiigia msikitini sio lazima utoe sadaka ndio usali tofauti na dini nyegine
Kuna shehe kalalamika huko kuwa hata baiskeLi hawana
 
Mungu alisha weka amri zake moyoni mwako. Amekupa uwezo wa kutambua baya na jema moyoni mwako. Hivyo uende kanisani usiende au uende mskitini usiende au uende Hijja usiende kinacho determine wewe kwenda peponi ni kile kilichopo moyoni mwako kwa wakati huo. Deal na kusafisha moyo wako hapo ndipo unaingia peponi. Acha kujidanganya kwamba ukienda kanisani, msikitini au Hijja ndipo unaingia peponi. Je kama umeenda huko na bado moyoni umebeba makorokoro utaingiaje peponi ukifa. Narudia tena MUNGU hawezi kukupokea na moyo uliobeba makorokoro.
 
  • Thanks
Reactions: FWC
1719122436845.jpg
 
Endapo ukifa Makka au madina katika Hija huwa minafaizina

Aya ambazo zinaelezea neema za peponi kwa waumini:

  1. Surat Al-Waqi'ah (Sura ya 56), Aya 22-24:
    "Na wao watakuwa juu ya mito inayotiririka, na matunda ya wao watakavyo kuwa wakiyapenda. Na nyama ya ndege watakapo kuwa wakiyataka. Na wenye sura ya umri wakiwa wakiyaketi kwa makochoko."
    Aya hii inatoa picha ya anasa za peponi, ikiwa ni pamoja na mito inayotiririka, matunda, na vyakula vya kila aina ambavyo waumini watapata katika peponi.
  2. Surat Ar-Rahman (Sura ya 55), Aya 54-56:
    "Kila mmoja kati yao atakuwa na kile alicho nacho. Na Mola wako Mlezi atawawapa wao nini walicho zidi kuhisi. Na wao watakuwa na matunda na wanachagua."
    Aya hizi zinaelezea kwamba Mwenyezi Mungu atawazidishia waumini wake kila wanachokitaka na wanachohisi, na watapata neema bila ukomo katika peponi.
Ngamia anakufa
Mtu anafariki.
 
cha ajbu huamini theory lakini siku ya siku unakuta babu zako wananyakuliwa ktk dunia hii. hujiulizi wanaenda wapi?
unapokufa biashara yako imeishia hapo hapo hizo habari nyingine ni stori za kutafutia usingizi tu
 
Uislam raha sana, ukiwa nje ya uislam utaichukia uislam lkn ukinngia roho inakuwa nyepesi. maana ukiigia msikitini sio lazima utoe sadaka ndio usali tofauti na dini nyegine
Kwani aliekulazimisha kutoa sadaka kanisa nani
 
Back
Top Bottom