Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
So Mvinyo na Bikira 72 watapata au hawapatiPepo ipi?
Yaani mtu/binadamu anamfuata shetani chumbani kwake, anamnyonga na kufia huko halafu unaamini mtu huyu anaenda mapumzikoni - peponi??? Really?
No way brother Pascal Mayalla.!!
Hao waliofia huko ni kwamba kama hawakupata fursa ya kutubu na kuingia ktk njia ya kweli na sahihi (i.e Yesu Kristo), basi shetani/ibilisi keshajivunia (harvested) mavuno yake na wanaingia kwenye pepo ya uharibifu na mateso ya milele maana imeandikwa mahali kuwa "baada ya kifo, ni hukumu'"