Muislamu anayefariki Hijja

Muislamu anayefariki Hijja

Pepo ipi?

Yaani mtu/binadamu anamfuata shetani chumbani kwake, anamnyonga na kufia huko halafu unaamini mtu huyu anaenda mapumzikoni - peponi??? Really?

No way brother Pascal Mayalla.!!

Hao waliofia huko ni kwamba kama hawakupata fursa ya kutubu na kuingia ktk njia ya kweli na sahihi (i.e Yesu Kristo), basi shetani/ibilisi keshajivunia (harvested) mavuno yake na wanaingia kwenye pepo ya uharibifu na mateso ya milele maana imeandikwa mahali kuwa "baada ya kifo, ni hukumu'"
So Mvinyo na Bikira 72 watapata au hawapati
 
Toka nje ya box bro, achana na hizo imani za kumaliza ubongo wako. Hiyo suruali fupi na kobazi isikupe kiburi kuwa unamjua sana huyo Mungu.

So Mvinyo na Bikira 72 watapata au hawapati
"Mimi nimeandaa kwa ajili ya waja wangu waumini katika Pepo yangu ambayo hakuna jicho limeiona, wala sikio halijasikia, wala halijawahi kumjia mwanadamu kwenye akili yake." (Sahih Bukhari)
 
Hapa nitatoa baadhi ya aya ambazo zinaelezea neema za peponi kwa waumini:

  1. Surat Al-Waqi'ah (Sura ya 56), Aya 22-24:
    "Na wao watakuwa juu ya mito inayotiririka, na matunda ya wao watakavyo kuwa wakiyapenda. Na nyama ya ndege watakapo kuwa wakiyataka. Na wenye sura ya umri wakiwa wakiyaketi kwa makochoko."
    Aya hii inatoa picha ya anasa za peponi, ikiwa ni pamoja na mito inayotiririka, matunda, na vyakula vya kila aina ambavyo waumini watapata katika peponi.
  2. Surat Ar-Rahman (Sura ya 55), Aya 54-56:
    "Kila mmoja kati yao atakuwa na kile alicho nacho. Na Mola wako Mlezi atawawapa wao nini walicho zidi kuhisi. Na wao watakuwa na matunda na wanachagua."
    Aya hizi zinaelezea kwamba Mwenyezi Mungu atawazidishia waumini wake kila wanachokitaka na wanachohisi, na watapata neema bila ukomo katika peponi.
 
Hapa nitatoa baadhi ya aya ambazo zinaelezea neema za peponi kwa waumini:

  1. Surat Al-Waqi'ah (Sura ya 56), Aya 22-24:
    "Na wao watakuwa juu ya mito inayotiririka, na matunda ya wao watakavyo kuwa wakiyapenda. Na nyama ya ndege watakapo kuwa wakiyataka. Na wenye sura ya umri wakiwa wakiyaketi kwa makochoko."
    Aya hii inatoa picha ya anasa za peponi, ikiwa ni pamoja na mito inayotiririka, matunda, na vyakula vya kila aina ambavyo waumini watapata katika peponi.
  2. Surat Ar-Rahman (Sura ya 55), Aya 54-56:
    "Kila mmoja kati yao atakuwa na kile alicho nacho. Na Mola wako Mlezi atawawapa wao nini walicho zidi kuhisi. Na wao watakuwa na matunda na wanachagua."
    Aya hizi zinaelezea kwamba Mwenyezi Mungu atawazidishia waumini wake kila wanachokitaka na wanachohisi, na watapata neema bila ukomo katika peponi.
Hizi ni hadithi za kitabu unachokiamini ww, ama unadhani Kila mtu anakiamini kama ww?
 
Endapo ukifa Makka au madina katika Hija huwa minafaizina

Aya ambazo zinaelezea neema za peponi kwa waumini:

  1. Surat Al-Waqi'ah (Sura ya 56), Aya 22-24:
    "Na wao watakuwa juu ya mito inayotiririka, na matunda ya wao watakavyo kuwa wakiyapenda. Na nyama ya ndege watakapo kuwa wakiyataka. Na wenye sura ya umri wakiwa wakiyaketi kwa makochoko."
    Aya hii inatoa picha ya anasa za peponi, ikiwa ni pamoja na mito inayotiririka, matunda, na vyakula vya kila aina ambavyo waumini watapata katika peponi.
  2. Surat Ar-Rahman (Sura ya 55), Aya 54-56:
    "Kila mmoja kati yao atakuwa na kile alicho nacho. Na Mola wako Mlezi atawawapa wao nini walicho zidi kuhisi. Na wao watakuwa na matunda na wanachagua."
    Aya hizi zinaelezea kwamba Mwenyezi Mungu atawazidishia waumini wake kila wanachokitaka na wanachohisi, na watapata neema bila ukomo katika peponi.
Wewe huzitaki neema za Peponi!?

Nenda na wewe huko Macca, ukishindwa kufa huko nenda Gaza ukafe kama wenzako!!

Hivi hizo Neema ni pamoja na kutunukiwa Mabikra 72?
 
"Mimi nimeandaa kwa ajili ya waja wangu waumini katika Pepo yangu ambayo hakuna jicho limeiona, wala sikio halijasikia, wala halijawahi kumjia mwanadamu kwenye akili yake." (Sahih Bukhari)
Kama Ukweli ndo huu hiyo Neema ya Peponi mnayodanganyana kaiona nani!?

Tumieni akili enyi watu mnaangamia Kwa ujinga
 
Kwaiyo huwa mna jiuwa ili kumdanganya mnyazi Mungu
 
Kama Ukweli ndo huu hiyo Neema ya Peponi mnayodanganyana kaiona nani!?

Tumieni akili enyi watu mnaangamia Kwa ujinga
Huwa tunadanganywa vibaya,, Yaani uwe jambazi ukifia Pale tuuu Pepo Ni yako.maisha rahisi Saana Haya.Ujanja ujanja wa waarabu kujenga uchumi kupitia utalii.
 
Endapo ukifa Makka au madina katika Hija huwa minafaizina

Aya ambazo zinaelezea neema za peponi kwa waumini:

  1. Surat Al-Waqi'ah (Sura ya 56), Aya 22-24:
    "Na wao watakuwa juu ya mito inayotiririka, na matunda ya wao watakavyo kuwa wakiyapenda. Na nyama ya ndege watakapo kuwa wakiyataka. Na wenye sura ya umri wakiwa wakiyaketi kwa makochoko."
    Aya hii inatoa picha ya anasa za peponi, ikiwa ni pamoja na mito inayotiririka, matunda, na vyakula vya kila aina ambavyo waumini watapata katika peponi.
  2. Surat Ar-Rahman (Sura ya 55), Aya 54-56:
    "Kila mmoja kati yao atakuwa na kile alicho nacho. Na Mola wako Mlezi atawawapa wao nini walicho zidi kuhisi. Na wao watakuwa na matunda na wanachagua."
    Aya hizi zinaelezea kwamba Mwenyezi Mungu atawazidishia waumini wake kila wanachokitaka na wanachohisi, na watapata neema bila ukomo katika peponi.
kwahiyo bikra 72 ni kwa wanaojilipua na kuua makafiri peke yao ?
 
Heri tubaki na imani zetu za kuabudu milimani, mapangoni na chini ya miti kuliko hizo hadithi za kibiashara ili watu waende kwa wingi na kuacha maokoto huko
Zamani kabla ya Uisilamu Mabedui wa Kiarabu walikuwa wakitoka sehemu mbalimbali za Jangwani kwenda kuhiji pale Makka.

Hiyo ni kabla ya Muhamed na Fiksi zake.
 
Zamani kabla ya Uisilamu Mabedui wa Kiarabu walikuwa wakitoka sehemu mbalimbali za Jangwani kwenda kuhiji pale Makka.

Hiyo ni kabla ya Muhamed na Fiksi zake.
Kweli kabisa mkuu, kuna uhuni na usanii mwingi wa kulaghai na kuhadaa watu kuhusu hayo mawazo ya wachache walioyarasmisha na kuyaita dini ya haki.
 
Back
Top Bottom