dotnet
JF-Expert Member
- Mar 5, 2013
- 393
- 153
aisee mkuu nyie ni wafupi!!! hahahaaaa!!! lekadutigite!!
Unauhakika? Njoo ujipime urefu kwangu au lete unayeona ndio mrefu kwenu aje ajipime urefu na mimi kama hujaona kuwa wewe ni mfupi. By the way urefu au ufupi inafaida gani kwenye maisha? Think.