Muliro: Jeshi la Polisi kushugulikia wanaojifanya Askari kwa nia ya Kihalifu

Muliro: Jeshi la Polisi kushugulikia wanaojifanya Askari kwa nia ya Kihalifu

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar Es Salaam Muliro Jumanne Muliro amesema Jeshi la Polisi litaendelea kushughulika na wanaojifanya kuwa askari au watumishi wa umma huku wakitumia kigezo hicho kutishia wananchi na kufanya matukio mengine ya kihalifu.

Pia, Soma: News Alert: Jeshi la Polisi linawashikilia watu 4 kwa tuhuma za mauji ya Mtumishi wa TRA Amani Simbayao kutoka tukio la Tegeta

Kamanda Muliro ameyasema hayo leo alipokuwa akijibu swali la mwandishi wa Jambo TV juu ya uwepo wa matukio ya watu kutekwa ambayo yamepelekea wananchi kuwa na hofu.

 
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar Es Salaam Muliro Jumanne Muliro amesema Jeshi la Polisi litaendelea kushughulika na wanaojifanya kuwa askari au watumishi wa umma huku wakitumia kigezo hicho kutishia wananchi na kufanya matukio mengine ya kihalifu.

Pia, Soma: News Alert: Jeshi la Polisi linawashikilia watu 4 kwa tuhuma za mauji ya Mtumishi wa TRA Amani Simbayao kutoka tukio la Tegeta

Kamanda Muliro ameyasema hayo leo alipokuwa akijibu swali la mwandishi wa Jambo TV juu ya uwepo wa matukio ya watu kutekwa ambayo yamepelekea wananchi kuwa na hofu.

View attachment 3171317
Hao wanaotenda ushetani wa kuwateka watu huku wakijitambulisha ni Polisi, wanafahamika sana. Hata kamanda Muliro anawafahamu sana. Hao ni wale waliotengenezewa sheria ya kulindwa hata kama wakifanya uovu dhidi ya raia, na wanajifanya wapo juu ya vyombo vyote vya ulinzi na usalama, kwa sababu wanaripoti moja kwa moja ofisi kuu.
 
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar Es Salaam Muliro Jumanne Muliro amesema Jeshi la Polisi litaendelea kushughulika na wanaojifanya kuwa askari au watumishi wa umma huku wakitumia kigezo hicho kutishia wananchi na kufanya matukio mengine ya kihalifu.

Pia, Soma: News Alert: Jeshi la Polisi linawashikilia watu 4 kwa tuhuma za mauji ya Mtumishi wa TRA Amani Simbayao kutoka tukio la Tegeta

Kamanda Muliro ameyasema hayo leo alipokuwa akijibu swali la mwandishi wa Jambo TV juu ya uwepo wa matukio ya watu kutekwa ambayo yamepelekea wananchi kuwa na hofu.

View attachment 3171317
Atueleze waliomuua Kibao.

Hizi yadayada ni kujikosha tu. Wanajua kinachoendelea
 
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar Es Salaam Muliro Jumanne Muliro amesema Jeshi la Polisi litaendelea kushughulika na wanaojifanya kuwa askari au watumishi wa umma huku wakitumia kigezo hicho kutishia wananchi na kufanya matukio mengine ya kihalifu.

Pia, Soma: News Alert: Jeshi la Polisi linawashikilia watu 4 kwa tuhuma za mauji ya Mtumishi wa TRA Amani Simbayao kutoka tukio la Tegeta

Kamanda Muliro ameyasema hayo leo alipokuwa akijibu swali la mwandishi wa Jambo TV juu ya uwepo wa matukio ya watu kutekwa ambayo yamepelekea wananchi kuwa na hofu.

View attachment 3171317
Amejibu ili muda upite au anamaanisha?Baadaye asikane maneno yake.
 
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar Es Salaam Muliro Jumanne Muliro amesema Jeshi la Polisi litaendelea kushughulika na wanaojifanya kuwa askari au watumishi wa umma huku wakitumia kigezo hicho kutishia wananchi na kufanya matukio mengine ya kihalifu.

Pia, Soma: News Alert: Jeshi la Polisi linawashikilia watu 4 kwa tuhuma za mauji ya Mtumishi wa TRA Amani Simbayao kutoka tukio la Tegeta

Kamanda Muliro ameyasema hayo leo alipokuwa akijibu swali la mwandishi wa Jambo TV juu ya uwepo wa matukio ya watu kutekwa ambayo yamepelekea wananchi kuwa na hofu.

View attachment 3171317
Kusema na kutenda ni vitu viwili tofauti
 
Back
Top Bottom