Muliro: Msiogope kuomba lifti kwenye Difenda

Muliro: Msiogope kuomba lifti kwenye Difenda

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
1676355861473.png

"Kuna mtu alishawahi kuomba lift kwenye Difenda hakupewa? Kwanini wanapanda watuhumiwa tu?

Kwa mfano Difenda linakwenda Bunju, Tegeta, Kunduchu, Kitunda au Mwanagati, Kivule analiona kabisa limeandikwa Polisi na wewe unakwenda maeneo hayo kwanini usilisimamishe ukaomba lift?
 
Wazo zuri Sana. Kwa kuongezea nilikuwa napendekeza pia mfunge Bluetooth speaker ili

1. Watuhumiwa na maaskari wawe wanaburudika wakati wa mizunguko,
2. Mtuhumiwa kuingia cell bila msongo wa mawazo, hii itarahisisha hata kutoa maelezo akili ikiwa imetulia..

Imagine umefungulia reggae au amapiano 😁
 
Wazo zuri Sana ,Kwa kuongezea nilikuwa napendekeza pia mfunge Bluetooth speaker ili

1. Watuhumiwa na maaskari wawe wanaburudika wakati wa mizunguko,
2. Mtuhumiwa kuingia sell bila msongo wa mawazo, hii itarahisisha hata kutoa maelezo akili ikiwa imetulia..

Imagine umefungulia reggae au amapiano [emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]umetisha boss
 
Kisa cha kujitia nuksi? [emoji23]
Wakikuona Mshana Jr kwenye difender ya police watazusha mengi, watasema umekamatwa kwa ulozi, au uzinzi, wizi, wasiokupenda wanaweza kudai wewe ni panya road. Kumbe umeomba lifti Chalinze kwenda Msata kilingeni.

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom