Muliro: Msiogope kuomba lifti kwenye Difenda

Muliro: Msiogope kuomba lifti kwenye Difenda

Wanajeshi huwa naona wanasimamisha basi zao wanapakia wanafunzi wanaosubiri daladala ila hao washenzi hawawezi fanya hivyo. Kwanza wanaweza kuwaibia wanafunzi penseli zao na vichongeo.
Naaamini
 

"Kuna mtu alishawahi kuomba lift kwenye Difenda hakupewa? Kwanini wanapanda watuhumiwa tu?

Kwa mfano Difenda linakwenda Bunju, Tegeta, Kunduchu, Kitunda au Mwanagati, Kivule analiona kabisa limeandikwa Polisi na wewe unakwenda maeneo hayo kwanini usilisimamishe ukaomba lift?
uombe lift kwenye difenda ya polisi? Hujitakii mema ya nchi...
 
Hizo lift nimeshapanda sana nakumbuka siku moja tu walinikazia walikataa kunipa lift waliniambia wamepakiza watuhumiwa
 

"Kuna mtu alishawahi kuomba lift kwenye Difenda hakupewa? Kwanini wanapanda watuhumiwa tu?

Kwa mfano Difenda linakwenda Bunju, Tegeta, Kunduchu, Kitunda au Mwanagati, Kivule analiona kabisa limeandikwa Polisi na wewe unakwenda maeneo hayo kwanini usilisimamishe ukaomba lift?
Hivi nipande hiyo diffenda nikiwa naenda wapi?

msitulazimishe tuwapende Polisi, hawastahili kupendwa to taht extent,

uhusiano na polisi wa ivoo!!!
 
Kuna jamaa mmoja hapo kawe beach alikamatwa na polisi anavuta bangi, polisi wakaondoka nae, ndugu zake wamemtafuta kila kituo Cha polisi hapa dar es salaam unachokijua wewe, hawampati siku ya tano leo. Sasa ndo ujue mapolisi wa tz walivyo. Ndugu zake hawajui waanzie wapi.

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 
Wanajeshi huwa naona wanasimamisha basi zao wanapakia wanafunzi wanaosubiri daladala ila hao washenzi hawawezi fanya hivyo. Kwanza wanaweza kuwaibia wanafunzi penseli zao na vichongeo.
😂😂😂
 

"Kuna mtu alishawahi kuomba lift kwenye Difenda hakupewa? Kwanini wanapanda watuhumiwa tu?

Kwa mfano Difenda linakwenda Bunju, Tegeta, Kunduchu, Kitunda au Mwanagati, Kivule analiona kabisa limeandikwa Polisi na wewe unakwenda maeneo hayo kwanini usilisimamishe ukaomba lift?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamaa mjinga sana [emoji1787][emoji1787].
 
Ila nia ya Muliro ni kutaka raia wajenge urafiki na polisi. Watapata habari mbalimbali kuhusu mambo ya ndani ya nchi.
 
Labda wangekuwa polish wa 'mamtoni' ambao siwajui vyema, kuomba lift kwenye defender ya Polisi Tz ni sawa na kuomba nuksi - kuomba wakubambikie msala
 
Is it possible for a Masai to hold a book,a spear and stick on the same hand?

Kuna kauli ya kamanda wa Kanda maalumu ya Mzizima, amesema raia wasisite kuomba lift kwenye defender ya polisi, ukiwa na uhitaji wa kuwahi

Hii ni kwa ulaya tu don't try it at home.
 
yani ujipelele katika mdomo wa mamba. wanaweza hata kukupora vitu vyako na kukupa kesi ya uzurulaji.

Ni bora ukutane na panya road wakipora wanachotaka wanaweza kukuacha uende zako kuliko hiyo mijamaa ya defender, inakupora na lock up inakuweka.

Rejea tukio la kijana wa madini wa Mtwara. Pesa yake walichukua na kumuua wakamuua. Polisi wetu ni wanyama kupita neno halisi la unyama.
 
Wale jamaa Wana roho mbaya sana, ila ukikutana na wale watu wazima baadhi, wanajua heshima ni nini. Kuna Afande mmoja nimemsahau jina ila ana lafudhi ya kizanzibar, kituo cha Urafiki, alinihudumia vizuri na nilimshukuru pia.

Nikamweleza kuwa natamani wote mngekua na customer care nzuri kama hii.
 
Back
Top Bottom