Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajeshi huwa naona wanasimamisha basi zao wanapakia wanafunzi wanaosubiri daladala ila hao washenzi hawawezi fanya hivyo. Kwanza wanaweza kuwaibia wanafunzi penseli zao na vichongeo.
Unaweza ukajipoteza mwenyewe.
"Kuna mtu alishawahi kuomba lift kwenye Difenda hakupewa? Kwanini wanapanda watuhumiwa tu?
Kwa mfano Difenda linakwenda Bunju, Tegeta, Kunduchu, Kitunda au Mwanagati, Kivule analiona kabisa limeandikwa Polisi na wewe unakwenda maeneo hayo kwanini usilisimamishe ukaomba lift?
Mwizi hachagui Cha kuiba.Halafu wakazifanyie nini [emoji23]
Mtego huu, Jichanganye likukute jambo
"Kuna mtu alishawahi kuomba lift kwenye Difenda hakupewa? Kwanini wanapanda watuhumiwa tu?
Kwa mfano Difenda linakwenda Bunju, Tegeta, Kunduchu, Kitunda au Mwanagati, Kivule analiona kabisa limeandikwa Polisi na wewe unakwenda maeneo hayo kwanini usilisimamishe ukaomba lift?
"Kuna mtu alishawahi kuomba lift kwenye Difenda hakupewa? Kwanini wanapanda watuhumiwa tu?
Kwa mfano Difenda linakwenda Bunju, Tegeta, Kunduchu, Kitunda au Mwanagati, Kivule analiona kabisa limeandikwa Polisi na wewe unakwenda maeneo hayo kwanini usilisimamishe ukaomba lift?
Sijui umewaza nini🤣🤣..dah mtuhumiwa anashuka na amapiano safi kbsWazo zuri Sana ,Kwa kuongezea nilikuwa napendekeza pia mfunge Bluetooth speaker ili
1. Watuhumiwa na maaskari wawe wanaburudika wakati wa mizunguko,
2. Mtuhumiwa kuingia sell bila msongo wa mawazo, hii itarahisisha hata kutoa maelezo akili ikiwa imetulia..
Imagine umefungulia reggae au amapiano 😁
Si wanaccm mwenzako mama d!Mwaka 2004 niliwahi omba lift gari ya police toka kijiji fulani ambapo usafiri ulikua gari moja tuu Mara 2 kwa siku
Nilifika salama na kwa haraka
Asante jeshi letu la police
Kisa cha kujitia nuksi? [emoji23]
Niliona hiyo hata Unguja, Raia wanapewa lift gari ya polisi kiroho safi.... Bara tunajazana uoga lakini uhalifu unatufanya tuwaogope polisiKule Pemba raia wanakaa barabarani kusuburia gari yoyote inayopita kwa ajili ya kuomba lifti, kabla hawajaiona wakisikia sauti tu wanaanza kusimamisha, haijalishi ni defenda, ambulance, gari ya Mbunge au gari la jeshi...
Polisi wenyewe washazoea.
Pia tuombe lifti kwenye V8 nyeusi, huwa naziona sana mitaa ya Makumbusho na Mbweni, kama unaenda Posta unapata lift kwenye Ac,Mkuu yale ni magari mali ya UMA,sio STK wala SU jenga mazoea ya kutumia mali yako[emoji28][emoji28][emoji28]
Difenda nyuma zinakuwaga na fimbo za kutosha
"Kuna mtu alishawahi kuomba lift kwenye Difenda hakupewa? Kwanini wanapanda watuhumiwa tu?
Kwa mfano Difenda linakwenda Bunju, Tegeta, Kunduchu, Kitunda au Mwanagati, Kivule analiona kabisa limeandikwa Polisi na wewe unakwenda maeneo hayo kwanini usilisimamishe ukaomba lift?
Si wanaccm mwenzako mama d!