Muliro: Msiogope kuomba lifti kwenye Difenda

Muliro: Msiogope kuomba lifti kwenye Difenda


"Kuna mtu alishawahi kuomba lift kwenye Difenda hakupewa? Kwanini wanapanda watuhumiwa tu?

Kwa mfano Difenda linakwenda Bunju, Tegeta, Kunduchu, Kitunda au Mwanagati, Kivule analiona kabisa limeandikwa Polisi na wewe unakwenda maeneo hayo kwanini usilisimamishe ukaomba lift?
Unaweza ukajipoteza mwenyewe.
 

"Kuna mtu alishawahi kuomba lift kwenye Difenda hakupewa? Kwanini wanapanda watuhumiwa tu?

Kwa mfano Difenda linakwenda Bunju, Tegeta, Kunduchu, Kitunda au Mwanagati, Kivule analiona kabisa limeandikwa Polisi na wewe unakwenda maeneo hayo kwanini usilisimamishe ukaomba lift?
Mtego huu, Jichanganye likukute jambo
 

"Kuna mtu alishawahi kuomba lift kwenye Difenda hakupewa? Kwanini wanapanda watuhumiwa tu?

Kwa mfano Difenda linakwenda Bunju, Tegeta, Kunduchu, Kitunda au Mwanagati, Kivule analiona kabisa limeandikwa Polisi na wewe unakwenda maeneo hayo kwanini usilisimamishe ukaomba lift?
-%20KumbukiziMTAFUTANO.jpg
 
Wazo zuri Sana ,Kwa kuongezea nilikuwa napendekeza pia mfunge Bluetooth speaker ili

1. Watuhumiwa na maaskari wawe wanaburudika wakati wa mizunguko,
2. Mtuhumiwa kuingia sell bila msongo wa mawazo, hii itarahisisha hata kutoa maelezo akili ikiwa imetulia..

Imagine umefungulia reggae au amapiano 😁
Sijui umewaza nini🤣🤣..dah mtuhumiwa anashuka na amapiano safi kbs
 
Kule Pemba raia wanakaa barabarani kusuburia gari yoyote inayopita kwa ajili ya kuomba lifti, kabla hawajaiona wakisikia sauti tu wanaanza kusimamisha, haijalishi ni defenda, ambulance, gari ya Mbunge au gari la jeshi...

Polisi wenyewe washazoea.
Niliona hiyo hata Unguja, Raia wanapewa lift gari ya polisi kiroho safi.... Bara tunajazana uoga lakini uhalifu unatufanya tuwaogope polisi
 

"Kuna mtu alishawahi kuomba lift kwenye Difenda hakupewa? Kwanini wanapanda watuhumiwa tu?

Kwa mfano Difenda linakwenda Bunju, Tegeta, Kunduchu, Kitunda au Mwanagati, Kivule analiona kabisa limeandikwa Polisi na wewe unakwenda maeneo hayo kwanini usilisimamishe ukaomba lift?
Difenda nyuma zinakuwaga na fimbo za kutosha

Sasa jichanganye udandie huo mtumbwi uone njiti utakazo chezea 🤣🤣
 
Back
Top Bottom