Kijana Wa Makamo
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 212
- 116
Huyu jamaa hajawahi kuwa mkuu wa mkoa Arusha kweli?sababu kma ni yeye ni tatzooooooooi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HII KWA SASA NI KAWAIDA HATA HAPA NILIPO TAARIFA ZINASEMA WAMEMTUSI SANA AFISA ELIMU WAO...!Kwenye hili tukio ni Mwandishi wa gazeti moja tu alikuwepo? Tupate uhakika kutoka vyombo vingine vilivyokuwepo katika tukio hilo ili niweze kuamini. Mi nawafahamu waalimu hawako hivo. Hawawezi kumpiga kiongozi wao. Hata kama hawakubaliani wangekaa kimya ila wangebaki na msimamo wao. Kama walimu wamefika hapo basi taifa limekwisha.
Hao waliotoa matusi ni UKAWA?HII KWA SASA NI KAWAIDA HATA HAPA NILIPO TAARIFA ZINASEMA WAMEMTUSI SANA AFISA ELIMU WAO...!
....viva LOWASSA viva...
kiujumla wakuu wa mikoa hutoa kauli nyingi sana za kichochezi kwa lengo la kuibeba ccm...
Jamani huko kwimba mansoori vipi??
Mnamrejesha au mnaenda na ukawa??
Maana pale mjini nilishuhudia mwenyekiti wa chadema akishinda
Huyu jamaa hajawahi kuwa mkuu wa mkoa Arusha kweli?sababu kma ni yeye ni tatzooooooooi