MUM idahili toka tcu.

Morogoro Muslim University ni chuo kinachofundisha kwa kufuata mashriti yote ya tume ya vyuo vikuu (TCU) huku kikifuata mafundisho na maadili ya kiislam (Hadithi na Sunna). Binafsi naunga mkono uamzi wao wa kutojiunga na TCU maana kwa kufanya hivo wameepuka kudahili wanfunzi wengi wauza sura,wabana pua,wavaa milegezo na nusu uchi. Ogopa sana jamii inayopokea wahitimu wa aina mbili; Wavaa Milegezo na Wakaa uchi.
 

Mkuu wauza sura kivipi,wanajuaje kuwa huyu muuza sura na huyu sio muuza sura katika process ya selection? Au majina ndo yanaonesha wauza sura.
 

ni kweli, ila kuna vitu huwa vinaji'set automatic, hasa ukizingatia kwenye chuo kama kile sio rahisi kukuta wasio waislam ni wengi kuliko waislam.

Hiyo hufanya dhana ya ubaguzi kutokuewepo.
 
Mum ni tofaut na vyuo vingne tanzania,inajenga watu katika nyanja zote za maisha ww unaesema wanaubaguz uliwah kuomba ukasome pale ukanyimwa nafac?acha utaratib wao uwe ivoivo hatakaopelekwa mum bila ridhaa yao i believ watarud ndan ya mwez mmoja tu mum hawaangalii sura ukichemka ni kwenu hakuna kusubr kila mwaka ndo disco kila semister ukishindwa kupata gpa ya 2 na kuendelea kwenu,na ukishindwa kufuata mashart ya pale kwenu,mimba aut of marrg kwenu,unashikana na watoto wa kike kwenu yan ni ful sheria we mwenyew ukipekwa utaomba urud
 

FYI: Wanadahili kutoka madrasa. Inatosha
 
Sasa wakidahili kwa TCU wanachuo wa pale wote si hawata kidhi vigezo ndo maana wanabebwa tu na madhara yake wagalatia watakuwa wengi kushinda vibarakashia.
 

Jamii ya watu wastaarabu hupima hekima za mawazo yao kwa kutazama mda na mabadiliko ya matukio ndani ya jamii husika na sio katika kulinganisha na jamii jirani, mungu aliye dhaifu hupiganiwa na watu wake bali Mungu aliye mkuu huwapigania watu wake.
 

ht kama watajitenga hao waislamu na chuo chao,bado wakristo tupo juu katika nyanja mbalimbali za kielimu,kisiasa,kimichezo n.k.
 
aliwazalo mjinga ndo litakalomtokea. ukiwaza unabakwa utabakwa kweli.
 
Sasa wakidahili kwa TCU wanachuo wa pale wote si hawata kidhi vigezo ndo maana wanabebwa tu na madhara yake wagalatia watakuwa wengi kushinda vibarakashia.

asiyekidhi vigezo ataendeleje na masomo sasa, wakati baada ya udahili pale chuoni lazima uhakiki wa waliodahiliwa ufanyike TCU.

Watu kwa kujitoa akili.
 
hivi mtu na akili yako timamu unaenda kusoma MUM!!???
 
Mimi binafsi ni mwanafunzi wa chuo kikuuu cha waislamu Morogoro (MUM) chuo hiki kinafuata maadili ya kiislamu kwa Tz hakuna chuo chenye wanafunzi wenyemaadili kuliko chuo cha Mum kwa mfana ktk suala la mavazi wanafunzi wachuo na vaa hiv
i hapa wanafunzi wapo ktk jengo la ICT wakisikiliza lecture


hapa wanafunzi wakiwa ktk Discussion


ZIFUATAZO NI PICHA ZA WANAFUNZI WA SAUT MWANZA



hapa wapo ktk lecture na hapo juu wapo ktk sherehe
sasa kwa mtizamo hapo unaweza ukafahamu kwann Mum haitaki na haitotaka kudailiwa na TCU
vile sheria za hapo Mum kwa mtu ambaye anatabia kama za kufavaa nusu uchi au uzinzi huwa ana DISCO mazingira haya sio rahisi kwa wanafunzi wengi kuyaweza
 

hio sio sababu toshelezii mkuu...!
 

Kama maisha yako yote umepitia seminari za kikristo kupata MUM ni asilimia ndogo
 

Maadili ya MUMya kinafiki bwana hao hao waliojifunika wanamegwa sana mitaa ya kihonda kule,njoo huku mitaa ya Mazimbu huku Ipoipo mbona wanafichwa sana kwenye vichemba.Hizo nguo zisikudanganye kuwa kuna maadili hamna kitu hapo,nenda fielduonewanafunzi wa MUM wanavoishikinafiki atleat wawezakuenda sawa na sheria lakinimioyo yao haipo hivo,nenda kahudhurieLecture zaHistory ndo utaijua MUM
 
hio sio sababu toshelezii mkuu...!
Nilicho maanisha hapo ww uangalie watu ambo Mum inawadahili wanavyokuwa na wanafunzi ambao TCU inadahili kwenda kwenye vyuo mbalimbali hata chuo Kikuu cha THE STATE UNIVERSITY OF ZANZIBAR ( SUZA) Kuna mwaka walijiingiza kwenye TCU baada ya kupelekewa wanafunzi kwa mara ya kwanza tu mwaka wa pili wakajitoa Tatizo kubwa ni maadilli jomba hawa mabinti hawawezi kusoma MUM wata disco Bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…