Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Juzi nimechelewa Kurudi, waifu ananambia Ww endelea Ipo Siku Nitakupa sumu Ili Hao wanawake WaKo wakome. Niko kwenye process ya kumtema Ingawa aliomba msamaha Asubuhi.
.
Huyu Mwanamke ninaishi nae under presumption of Marriage

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nawe muheshimu mkeo, nyie ni familia, kwanini muwe familia afu ufanye vitu kibinafsi??
 
Afdhali wewe umeutambua uhalisia wa maisha ya kiafrika "mwanamke atabaki kuwa chini ya mwanaume", ila sasa wanawake wengi wameharibiwa na tamthlia za wazungu kiasi kwamba utamaduni wa kule wanataka kuuleta afrika.

Kama huwezi kuwa chini ya mwanaume kwanini ukubali ndoa wakati kama ni kutombw utatombw tu hata bila ndoa? Na kama ni mtoto unaweza kupata bila hata ndoa, JIBU linakuja kwamba wengi huolewa kutafuta uahueni wa maisha.

Muhimu ni kujitambua,ndoa ni sacrifice haiwezekani uingie ndoani na uishi kama single lazima mtashindwana tu...

Lakini ni muhimu kabla ya ndoa uhakikishe umemaliza bata zote na unaingia ndoani kutulia.
Una focus project za familia nk huwezi kupata muda wa kwenda show za diamond nk
Ndoa inahitaji ukomavu wa pande zote mbili
 
Sidhani kama alikosa means ya kuitafuta ya kiamani kabisa, shida kuna watu mnapenda mifumo dume sana sio kila jambo utakua mkali, jaribu pia kumpa nafasi mwenzako vitu anavyopenda mnataka mfanane kila kitu kama hupendi mziki yeye anapenda mpe nafasi unaweza mpeleka wewe ukaenda sehemu tulivu ukimsubiria atoke simple
Umeolewa????
 
Kupata mwanamke anaekusikiliza na kukuheshimu kama baba yake ni baraka kubwa sana ambayo wengi wanaikosa katika kizazi hiki, Asante Mungu.

Muda mwingine sisi wanaume tunashindwa kusimamia uanaume wetu, hivi Mungu kakujalia Pesa na afya ya nini kung'ang'ania mwanamke anaekuumiza akili?? Najua mapenzi yanauma na pengine labda kuna watu wapo humu jf muda huu wanapitia fukuto la mahusiano, nawashauri mfanye maamzi ya kiume kabla hamjachelewa.


"Every woman in any given reletionship, is taken as the man's project".

Project imekushinda, achia wengine wahangaike nayo kwanini uumie?
[emoji419]
 
either upende hela halafu utulie hata kama ulidhishwi au uachane na hela za watu uende kwa atakayekuridhisha...

masista du wanapenda good life ambalo wenyewe hawana, wakipata penye hela tena wanaleta nyodo baada ya utulivu...
 
Sidhani kama alikosa means ya kuitafuta ya kiamani kabisa, shida kuna watu mnapenda mifumo dume sana sio kila jambo utakua mkali, jaribu pia kumpa nafasi mwenzako vitu anavyopenda mnataka mfanane kila kitu kama hupendi mziki yeye anapenda mpe nafasi unaweza mpeleka wewe ukaenda sehemu tulivu ukimsubiria atoke simple
Unatoa mifano rahisi kwa ishu complex. Unaongea as if unaishi Mars. Kuna baadhi ya scenarios I choose not to comment kwavile story zinazotufikia zinakuwa zipo nusu. Ila penye hasira control inapoteaga, hapo unaweza Kuta wote walikuwa na hasira, huyu zikamtuma kujibu shit, mwingine zikamtuma kuitumia bastola.
 
Kwenye hayo mahojiano ya Millard Ayo na mama wa marehemu inaonyesha binti aka marehemu aliondoka nyumbani toka alhamisi kwenda Shinyanga kumfanyia mtu make-up...tatizo likawa kurudi sasa mara leo mara kesho.....

Inaonekana shida kubwa ni wivu wa mapenzi hapo.....kuna mmoja alimpenda mwenzie kupita kiasi kama malaika...hapo ndio shida ilipoanzia..

Rusha hiyo link tuone
 
Juzi nimechelewa Kurudi, waifu ananambia Ww endelea Ipo Siku Nitakupa sumu Ili Hao wanawake WaKo wakome. Niko kwenye process ya kumtema Ingawa aliomba msamaha Asubuhi.
.
Huyu Mwanamke ninaishi nae under presumption of Marriage

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanawake hawa noma sanaa... Sema wengi wao maneno tuu ila mwanaume akisema Nakuua jua mwanamke ipo siku atauliwaa kweliii..

Anyway kwenye hii kesi nilichokiona inawezekana kwa wanaume asilimia kubwa wangefanya hayaa kama una silahaa na mwanamke anakudharau na kuleta nyodo hasiraa huwaga haziwi mbalii.. Ni bora sasa awe na mipaka ya manenoo otherwise ni hatarii sanaa...!! Unaweza jikutaa tu umepiga mtu risasiii. Siafikii kilichofanyikaa sio sawaa ilaa ndio nature ya maamuzi ya mwanaume akiwa na hasiraa nadhani mnakumbuka kesi ya UFO SAROOO
 
Wakuu story ni kwamba huyu jamaa kwenye picha amemuua huyo mkewe usiku wa kuamkia leo huko Mwanza ikidaiwa ni baada ya kumkataza mkewe asiende kwenye show ya Mondi.

Baada ya kumwambia asiende kwenye hiyo show ya Nasib Abdul, mke akakaidi akaenda.

Jamaa amempiga risasi saba za kichwa na inasemekana na yeye kajiua japo maiti yake haijaonekana.

Ila na nyie Wanawake mpunguze visirani. Inaonesha jinsi huyu Marehemu alikuwa mkaidi na hamsikilizi Mme wake.

Mme kakuambia sitaki uende pahala fulani then wewe unakaidi ni nini kama sio dharau na kiburi?

By the way anything else Happen for a reason.

RIP Binti MzuriView attachment 2243941
View attachment 2243573



View attachment 2243574
Tatizo la Kumilikisha Silaha Vichaa
 
Nyie si mnawataja maslay queen wa kuuzia sura maskani wenye sura za baba zetu hamtutaki wacha yawakute
Yaani unataka ujinga wa fala mmoja ndioo utafanye tusikamatie pisi kali....wee tena mishangingi kama hiyo inajua kucheza na de libolo hatari.

Ata nyie wenye sura personal mkishawekwa ndani tuu mnaanza kuleta nyodo na wanaume tulivyo wadadisi, kuna njemba zitaanza kukutongoza ili zijue inakawaje jamaa kaweka ndani huyu mwanamke. So ata sura personal wanagegedwa tuu.
 
Show ni sababu iliyofanya kikombe cha hasira za jamaa kijae hatimae, kuna uwezekano mkubwa huko nyuma jamaa alisumbuka na vingi sana juu ya huyo mwanamke.
Msome vizuri jamaa inawezekana huyo marehemu demu kuhudhiria shows was a front alikuwa na mambo mengine ndani ya show .Kuna kidume kinahusika hapo na utovu wa adamu wa marehemu pisikali
 
Karne hii kupata mwanamke akakuheshimu, kukutii na kukusikiliza ni baraka kubwa kuliko zote. Na nyumba ya namna hiyo hata maendeleo yanakuja fasta sana.

Hizi pisi zenye makalio makubwa sana, sura za kipekee sana na mwili mzuri sana huwa zimenyimwa hivyo vitu, utii na heshima.

Mwamba kaona amwage kila kitu hadi ubongo.
 
Back
Top Bottom