Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Maria bwana
emoji3.png
emoji3.png
emoji3.png
emoji3.png
!

Tofautisha maisha ukiwa single na ukiwa kwenye commitment. Huwezi kuishi ndani ya ndoa kama vile hujsoa/hujaolewa.

Na kuna mambo lazima mkutane katikati utake usitake, kuna utaacha kufanya ili muishi kwa amani, kuna utayofanya ili muendane ma mwenzako. Lazima zipo tabia utaziacha tu.

Unataka kuingia kwenye ndoa na mentality za usingo?
Tuleteeni kisa kamili tuelewane vizuri
 
Ushauri mzuri kwa wanaume wanaojielewa.

Ila mzeya threesome ipo addictive. Mie hela zangu zote zinaisha kwenye hiyo mkuu. Sasa nipo katika harakagi ya kusaka orgy
Hayo ndo maisha, wacha wafu wapigane risasi na sisi wengine tuendelee kupiga threesome, uko jela twende katika harakati za kusaka pesa tu lakini sio katika kesi kama hizi
 
Kupata mwanamke anaekusikiliza na kukuheshimu kama baba yake ni baraka kubwa sana ambayo wengi wanaikosa katika kizazi hiki, Asante Mungu.

Muda mwingine sisi wanaume tunashindwa kusimamia uanaume wetu, hivi Mungu kakujalia Pesa na afya ya nini kung'ang'ania mwanamke anaekuumiza akili?? Najua mapenzi yanauma na pengine labda kuna watu wapo humu jf muda huu wanapitia fukuto la mahusiano, nawashauri mfanye maamzi ya kiume kabla hamjachelewa.


"Every woman in any given reletionship, is taken as the man's project".

Project imekushinda, achia wengine wahangaike nayo kwanini uumie?
Tumekuelewa muhenga[emoji41]
 
U nailed it ndo maana tunaambiwa marry ur best friend,haya kuoa au kuolewa without chemistry ndo yanaleta haya yoote,nna mashosti zangu wameolewa wanaenda club na Waume zao,vibao kata vya mjini huwakosi wako na Waume zao wanadrop na kuwapick up,Sasa wale wanaendana.
Mwanaume oa mwanamke mnayeendana na anaekuheshimu na kujua nini wataka baaasi
Na wwe Mwanamke olewa na Mwanaume mnaendanaa nae!!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Machaguo yenu ndio mabovu,si mnapenda masista duu nyie ndo mana moto unawawakia. Sio kila mwanamke ana sifa ya kuwa mke zingatieni hilo.
Wekeni basi hayo mabango ya matangazo ya kumjua Mwanamke anaefaa kua Mke, badala ya sisi Wanaume kuendelea kubahatisha Mke ni yupi maana Wanawake ni wengi sana!!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Siyo wa kifala ILA KUNA WANAUME HAWAJITAMBUI.... Unamkuta binti anapenda kuvaa vimini akipita lazima WAKWARE wageuke na wengine kupata mishtuko ya moyo, unamtongoza kwa kuvutiwa naye HIVYO ALIVYO, MASIKINI binti wa watu anakuelewa na kukubali.


Baada ya ndoa unaanza kumwekea masharti ya MAVAZI!!!!! Unafikiri wakati ananunua vimini hizo nguo ndefu HAKUZIONA????

MIJITU MINGINE ZERO BRAIN KABISA!!!!
kwa akili yako inabidi tu usiolewe maana hao 'zero brain' watakumaliza.
 
Acha chuma zilie tu madhali timu pinzani wameshaamua kuishi nje ya system ya kimaadili kumbe watu wafanyeje!?

Out of topic,risasi saba?mbona jamaa amepata hasara kubwa kiasi hiko au mkaa gunia Mwanza nako bei imepanda?
 
Ila pia tusimhukumu sana Mwanadada pia tumuangilie na Mwanamume...Wakati anaoa alioa mwanamke wa namna gani? kama alijua anaoa mwanamke ambaye aliamini ataweza kumtuliza na bado hatuliziki kwanini asimrudishe tu kwao kwa kumpa talaka na kila mtu akaendelea na maisha yake?..

Kama alioa mwanamke mtulivu na ghafla akabadirika, pia alipaswa kutafakari na kuangalia shida iko wapi baina yake na yeye...

Wakati tunahukumu ni vizuri pia kujiasses wenyewe kabla hatujachukua maamuzi, unaweza kuua au kutoa talaka kumbe chanzo ni mwenyewe au tatizo linalekebishika....

Kama demu alikuwa kicheche kama inavyosemwa humu basi suluhu ilikuwa kuachana naye apambane na dunia yake... Hawa huwa ni suala la muda tu wakishazoeleka mjini na kuchokwa aka magari ya mkaa huwa wanapigika na kutafuta yeyote yule wahifadhiwa..
 
Back
Top Bottom