Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Hii ni kama sadaka kwa walio kwenye mahusiano na wanaotaka kuingia kujipanga na kufanya uamuzi sahihi kwa watu wanaotaka kua nao
 
Umesema vizuri sana mkuu,kosa tayari ni la mwanaume kaua,lakini ukifuatilia unaweza kukuta mwanamke ndio alikuwa pasua kichwa,ikamfikisha jamaa kuchukua hayo maamuzi,hawa watu tunatakiwa tuishi nao kwa akili sana na kumshirikisha Mungu,kinyume cha hapo usije kumcheka mwanaume mwenzio kwa maamuzi ya majuto aliyoyafanya,kwani hapo shetani na mawakala wake wanahusika kwa asilimia 100......
 
Sawasawa
 
Kumbuka kila binadamu ana level yake ya ukichaa, kuna point ukimfikisha mtu anakubadilikia na kuwa zaidi ya mnyama. Unadhani wakipewa hizo silaha hawawaangalii mkuu?
Dah....ndiyo maana kwenye mafunzo ya kutumia silaha dhidi ya mwanadamu....mafunzo ya awali huwa ni kutiwa ukichaa....wanaoshindwa huwa na akili timamu...hutemwa 🤣🤣🤣🤣
 
wanaume....muwe makini mtakapo kuoa......wanawake chunguzeni vema hao mnaoamini future husband..........msipende pesa bila kutafakari maisha utayaratibu vipi kwa heshima na upendo......dunia ni uwanja wa fujo......utakavyo cheza ndivyo utachezwa.....RIP SWALHA.....
 
Hii pisi mbona kama nilishiaionaga badoo enzi hizo🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…