Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

إِنّا للهِ وَإِنَا إِلَـيْهِ رَاجِعُـونَ
Inna Lillahi wa inna ilayhi raaji'uun
 
Wapi umesoma Swalha alikuwa Malaya ?
Huna habari aliachika kwa umalaya wake kwenye ndoa ya kwanza, badala ya kujifunza akaendeleza ushenzi wake na dharau juu.

Ngosha akasema liwalo na liwe amekipata alichokipata, halafu humu ndani mnajazana ujinga ndio maana % kubwa humu mmeachika wachache sana wanajitambua na hutoona wakiunga tabia chafu kama za huyo marehemu.
 
Unaleta ukaid utapigwa tu HV nae jama anakuwaje. Na shamaba lenye migogoro hyo kitu tuachane nayo
 
Inalilah wainailah rajiun.

Huyu swalha namfahamu
 
Umeandika vitu ambavyo nilikuwa nawaza pia
 
Jamaa kazingua kuua, inagharimu mambo yake, vyombo vya usalama havijui habari za umalaya. Mwamba kazingua naamini alimchomoa huyo manzi kwenye mazingira tata najua alikuwa anajua demu wake ni namna gani .. ali fail, mahala pa kupiga na kusepa yeye kaweka kambi kosa hilo mwamba alifanya, sasa ina gharimu mambo yake
 
Hawa viumbe kila siku hawasikii..kuna yule mwingine alichomwa na magunia mawili ya mkaa
 
Maelezo ya mama yanatia shaka... Inaonekana clearly huyo mwanamke ana shida.

Mambo ya kuolewa halafu unaenda enda kwenu huagi ni ujinga.

Mtaendelea kumiminiwa za kichwa msipotia akili.
 
Huyu mwanaume nalog of kwa kumuita jina nililolitohoa kwenye "simba wa tsavo" anaitwa "nyamaume"
 
Asubuhi yake mume wake akanipigia simu na kusema kuwa mke wake amemjibu vibaya.

Nafikiri shida yote ilianzia hapa,, K I B U R I na lingine ni U J E U R I.

Japo hatua aliyochukua jamaa ni mbaya lakini kwa wengine mliokimbilia kuolewa mjifunze kitu kupitia mwenzenu huyu...

Hakuna Mwanaume anaweza vumilia Kiburi au Ujeuri..,,,nakazia tena HAKUNA...

Maua hunyauka, stori huisha, kumbukumbu husahaulika, hii inamaanisha Duniani sote tunapita, Maneno mkuki ila Heshima ni ngao,, na Upendo ndio nguzo Kuu...Mwanamke usiidharau Nazi,,Embe ni tunda tu la msimu.

R. I. P Dada yetu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…