Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Ulianza vizuri sasa unaharibu🤣🤣🤣🤣
Ata nyie wanawake akili zenu mnazijua wenyewe. Kwani wewe tatizo nini kwa mwanaume kuwana na mlimbwende mwengine ambaye anaipelekea moto mbususu yake?
Kikubwa mi niwe mke mdogo aka napendwa zaidi😅

Kugandana sana nako kadhia ujuee
 
Tuache utani, hiyo pc ilikuwa kali
 
Niliwahi soma mahali,"love and let go"
Penda harafu achie aende,kuwa huru,usipende harafu ukawa kinganganizi,Jenga picha kwamba unampenda sana lakini anaweza akakuacha,hapo utaishi kwa amani.
Maswala ya kujipa "entitlement"kwamba mkeo hawezi Wala hatakiwi kukujibu vibaya,utapata shida sana,
 
Yaonekana kaka alioa ila mwanamke hana mapenzi nae

Mana kitete nnachokua nacho kumpikia mtt wa mama mkwe hata chai tu ili kumfurahisha sio cha nchi hii
 
Hilo jambo mtu anashindwa.kulielewa afu anawekeza nguvu kubwa kwa mwanamke,ni utaahira na haya sasa ndio matokeo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…