Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Ulianza vizuri sasa unaharibu🤣🤣🤣🤣
Ata nyie wanawake akili zenu mnazijua wenyewe. Kwani wewe tatizo nini kwa mwanaume kuwana na mlimbwende mwengine ambaye anaipelekea moto mbususu yake?
Kikubwa mi niwe mke mdogo aka napendwa zaidi😅

Kugandana sana nako kadhia ujuee
 
Hapa ndo utajua kuwa wengi humu wanamiliki wanawake avarege tofauti na jinsi ambavyo kuwa wanajunasibu kwenye nyuzi mbalimbali humu, hii pisi inavyosifiwa humu kwa uzuri nimebaki nashangaa aiseeh.

Mtu anakwambia eti pisi ilikuwa kali sana, jamaa yupo halali, daaah[emoji1].
Tuache utani, hiyo pc ilikuwa kali
 
Niliwahi soma mahali,"love and let go"
Penda harafu achie aende,kuwa huru,usipende harafu ukawa kinganganizi,Jenga picha kwamba unampenda sana lakini anaweza akakuacha,hapo utaishi kwa amani.
Maswala ya kujipa "entitlement"kwamba mkeo hawezi Wala hatakiwi kukujibu vibaya,utapata shida sana,
 
mwanaume apige cm......

"mke wangu wahi upike njaa inanium" hlf mwanamke ukaendelea kushupaza shingo

Asa alikuoa wa nini kama hata kumjali akiwa na njaa huwezi?

mtu akatafte hela hlf bado apite mahotelin kula, kisa mwanamke unazurura kwenye ma show

mengine tunayataka wenyewe wanawake,

kama hujamaliza kudanga ndoa achana nayo
Yaonekana kaka alioa ila mwanamke hana mapenzi nae

Mana kitete nnachokua nacho kumpikia mtt wa mama mkwe hata chai tu ili kumfurahisha sio cha nchi hii
 
Uko sahihi sana mkuu bustan ya Eden kulikuwa na kila kitu still mwananmke akaona mume hamtoshi kufanya mazungumzo naye akafanya ukaribu na nyoka halafu marehemu Said Oswayo anajifanya eti anaweza kummiliki mwanamke amuweke ndani atulie kama broiler haipogo hiyo... Mchongaa mwenyewe kwa maria yalimkuta yakumkuta.......
Hilo jambo mtu anashindwa.kulielewa afu anawekeza nguvu kubwa kwa mwanamke,ni utaahira na haya sasa ndio matokeo..
 
Back
Top Bottom