HakikaTatizo tukiwa kwenye mahusiano tunaukabidhi unahodha kwa mwanamke, badala ya sisi kuwaongoza tunawaacha watuongoze na hivyo kupoteza thamani
Independent woman sioBinafsi mwanaume hanibabaishi. Mimi akinipiga kofi tu. Tunaachana.
Angeweza kumwita binti, na kuifanya saikolojia ya mwanamke ijijenge amuheshimu kama babayeHakika
Wengine utasikia mke wanamwita "Mama". Tena bila haya!
Kumuita mke "Mama" ni chanzo cha masaibu kama haya
Rangi inambebaBila make up yukoje?
Kazi ya kawaida tu ile mkuu ukilinganisha na mnavyoisifu humu, simaanishi ni mbaya ila ki pisi ya kawaida unless huwa hitembei kwenye events mbalimbali zenye watoto wakali.Tuache utani, hiyo pc ilikuwa kali
mrangiHaina makombo,kizuri kula na nduguyo,ikilitambua hilo mwanaume usiumie moyo,akiwa Malaya na were kua Malaya au mwache,ukikaa na muke moya atakutesa sana,sambaza upendo,akizingua huku hamia kureee muraaView attachment 2244817
Feminine prerogative: wanaume hatuwamiliki tena wanawake kama zamani ila tunatarajiwa kuwahudumia na kuwatunza kwa kila kitu kuliko hata zamani!Unajua wanaume wengi bado tunaishi 70's, 80's na 90's tukidhani tunamiliki wanawake tulionao wakati maisha yamechange hatumiliki wanawake bali tunaishi nao sio property zetu kama houses, bonds cjui fixed deposit etc. Maana yake hatucontrol wala kuown any feelings wala decision zao so ukiona umemfuma anacheat just mwache aende na wewe tafuta mwingine dunia kubwa nenda Kenya cjui SA cjui Brazil au Mexico au Porto Rico na huko akizungua unamwacha unatafuta mwingine kama safari ya wana wa Israel.
Kama unamaanisha kwenye udangaji ni sawa ila kama ni swala la ndoa utabondwa sana ikiwa utaishi kisista duu, we kama bado hujamaliza mambo yako endelea nayo nje ya ndoa huko.Binafsi mwanaume hanibabaishi. Mimi akinipiga kofi tu. Tunaachana.
Kwakweli mimi tangu ni balehe sijawahi kukaa na mwanamke mmoja, na siwezi huo ujinga.Samahanini kidogo, japo ni jambo la msiba na huzuni.
Nina swali moja, hivi mshawahi kusikia mtu mwenye mke zaidi ya mmoja kaua mkewe ?
Sasa mbona na yeye kajiua si angejiachaAmekula jeuri yake
Katika jambo ambalo nimejifunza na najivunia ni kuwajua wanawake vilivyo.Kwakweli mimi tangu ni balehe sijawahi kukaa na mwanamke mmoja, na siwezi huo ujinga.
Ungekuwa karibu hapa ungejua hujuiKwakweli mimi tangu ni balehe sijawahi kukaa na mwanamke mmoja, na siwezi huo ujinga.
Oa kijana WA CCM uteseke maana mmetufanyia maisha yamekuwa magumu mtaaaniDah nimeogopa hata kuoa…yule demu ninaetaka kuoa ana akili kama za huyu
Unashindwa nini mamilooo kumrudishia za uso?Binafsi mwanaume hanibabaishi. Mimi akinipiga kofi tu. Tunaachana.
Ni mpira ndioMpira tena? Ndio shida ya stori za kuletewa.
Yap. No mpira mkuunimeshangaa taarifa ya awali inasema alienda kwenye show ya diamond alafu taarifa ya shigongo inasema mpira.