Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Huyu mwanamke kaumbika,hawezi kua wako pekee
 

Attachments

  • 1653936831297.jpg
    1653936831297.jpg
    45.4 KB · Views: 19
Unajua wanaume wengi bado tunaishi 70's, 80's na 90's tukidhani tunamiliki wanawake tulionao wakati maisha yamechange hatumiliki wanawake bali tunaishi nao sio property zetu kama houses, bonds cjui fixed deposit etc. Maana yake hatucontrol wala kuown any feelings wala decision zao so ukiona umemfuma anacheat just mwache aende na wewe tafuta mwingine dunia kubwa nenda Kenya cjui SA cjui Brazil au Mexico au Porto Rico na huko akizungua unamwacha unatafuta mwingine kama safari ya wana wa Israel.
Feminine prerogative: wanaume hatuwamiliki tena wanawake kama zamani ila tunatarajiwa kuwahudumia na kuwatunza kwa kila kitu kuliko hata zamani!

Tatua fumbo hilo.
 
Samahanini kidogo, japo ni jambo la msiba na huzuni.

Nina swali moja, hivi mshawahi kusikia mtu mwenye mke zaidi ya mmoja kaua mkewe ?
Kwakweli mimi tangu ni balehe sijawahi kukaa na mwanamke mmoja, na siwezi huo ujinga.
 
Kwakweli mimi tangu ni balehe sijawahi kukaa na mwanamke mmoja, na siwezi huo ujinga.
Katika jambo ambalo nimejifunza na najivunia ni kuwajua wanawake vilivyo.

Wake zetu wana maudhi sana, nikisema wana maudhi sana, namaanisha sana. Ila kila nikikumbuka kauli iliyo toka katika kinywa twahara, isemayo "Mwanamke ana upungufu wa dini na akili" huwa narudi nyuma na kuwapuuza.

Usipowajua wanawake watakupa shida sana.
 
Back
Top Bottom