Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Kizazi hiki wanaume ni wachache wanaojitambua ndo maana wanawake wanawadharau
Mimi nimekupa ushauri mzuri tu.

Kama bado unahitaji kunadanga basi hauna sababu ya kujiingiza kwenye ndoa, wewe uize uone kama kuna mwanaume atakuja kukusumbua.

Amua kuwa malaya leo uone kama kuna mwanaume atakuja kukuletea wivu wa kijinga, kwanini uhangaike na ndoa?
 
Kama unamaanisha kwenye udangaji ni sawa ila kama ni swala la ndoa utabondwa sana ikiwa utaishi kisista duu, we kama bado hujamaliza mambo yako endelea nayo nje ya ndoa huko.
Miaka 15 ya ndoa hajawahi hata kunifinya.
 
Unaambiwa alikuwa anapigwa mpaka na vitako na bastola. Ila yupo tu. Na mara nyingi walikuwa na ugomvi.
Hapana alitaka kuondoka ila baba mtu akamzuia asiondoke kwa vile alishawahi kuachika ila siyo hivyo huyo Saidi alimteka akili baba mkwe wake kwa mapene ndo sababu kubwa baba mtu kulazimisha mtoto wake asiondoke, ila huyo dada na marafiki zake nao wajua ni watu wa kujiachia Sasa sijui huyo Said alitaka kuprove nini kwa kumuoa na kuwa naye muda wote bila kwenda kwa mke mkubwa kama matarajio ya muolewaji.
 
Mke mkubwa atakuwa kafurahi. Binafsi ningefanya sherehe. Mwanaume alieniona sifai kujiua kisa mwanamke aliemuona anafaa. 😂
 
Samahanini kidogo, japo ni jambo la msiba na huzuni.

Nina swali moja, hivi mshawahi kusikia mtu mwenye mke zaidi ya mmoja kaua mkewe ?
Hata huyu muuaji huyu alikuwa mke wa pili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…