Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Kila mtu na aoe kama anaweza kuish na mtoto wa wato ila kama mtu unaona huwez bora uwe alone kuliko kutenda hayo madhambi mbele za mwenyez Mungu pia ukosea jamuhuri.
Pia napenda kutoa usia kwa wakuu wenzangu umiliki wa silaha n mzuri ila mtu unapaswa kujua umemiliki jin na lipo ndani yako, likichoka kula unga litataka damu
 
Duuuh
 
Samahanini kidogo, japo ni jambo la msiba na huzuni.

Nina swali moja, hivi mshawahi kusikia mtu mwenye mke zaidi ya mmoja kaua mkewe ?
Imetokea zanzibar tena miezi ya karibuni. Mume alimuua mke mdogo kwa visu.

Ila huyu ni suspect. Maana dada alikutwa keshakufa chumbani kwake asubuhi na mapema.

Mwanzoni akakamatwa msichana wa kazi kwa sababu ilijulikana wapo wao wawili tu, mke na huyo dada wa kazi. Pia kulikuwa na mtt mdogo wa kiume wa huyo mke mdogo.

Lkn baada ya uchunguzi polisi walijua kuwa ile kazi haiwezi kuwa imefanywa na msichana wa kazi mdogo asie na nguvu.

Msichana wa kazi kuhojiwa zaidi ndio akatoa story kuwa mume alikuja pale nyumbani mapema sana kutoka kwa mke mkubwa alipolala. Na akatekeleza azma hio. Maana alipofika alimtuma dada wa kazi dukani wakati anajua fika kuwa mida hizo ni mapema sana maduka kupata yapo wazi ni shida. So ilichkua muda dada wa kazi kurudi dukani. Na alipofika ndio akamkuta yule mume na kisu kilo kuwa na damu na kuamrishwa akisafishe na amkoshe na mtt pia maana nae alikuwa nguo zake zimeingia damu. Baada ya hapo akamwamrisha pia amsaidie kuweka maiti sawa pale kitandani. Then akasepa na kumwacha dada wa kazi na vitisho juu kuwa akisema kama ni yeye ndie alifika pale naye pia atamchinja.
 
Hapo sawa
 
Kama alijaribu hivi na binti akagoma angefanya namna ya kuachana nae,nacho mlaumu huyu mwamba ni kuoa mwanamke maarufu wakati ana wivu wa hatari hivi
Mkuu wanawake bahadhi wanachangamoto kwelikweli, yaani kama una hasira kama hizi za kwangu ni kutoka na kurudi baadaye ukute hali ya hewa imetulia. Vinginevyo unaweza fanya kosa kubwa sana la kujutia maisha yote.
 

Hebu itazame hivi: Mwamba ameacha mamilioni ya wanawake huko ameamua kuinvest kwako halafu wewe unamkosea heshima unaenda kulewa na kujitombesha bure kwa wahuni, tena nahisi risasi ziliisha tu angekula hata ishirini huyo fala
 
Mmh, haiwezekani, yaani mtu ajiue halafu ajitupe kwenye ziwa? Alijibebaje? Hapo kuna mtu alitaka kumuua mkewe na kumframe yeye kama amekombia, kumbe na yeye kauwawa na kutupwa ziwani.

UCHUNGUZI UFANYIKE!!
Nafanya ila mpaka sasa nmefiki 80%
 
Kuna maisha baada ya kifo.
 
Hata kwenye dini tunaambiwa mbabe zaidi na mwenye nguvu ni yule mwenye kuweza kuzizuia hasira zake.

Na mara nyingi ukiwa mpole na mstaarabu baada ya kuudhiwa karma ndio inakuwa mlipaji wako wa kisasi. Muhimu subrah tu
 
Mkuu kuna wanawake ni wa kawaida sana, il nyumba inakuwa kama mko Ukraine, yaani ni moto kila siku. Wengine tuko nao kwenye ndoa zaidi ya miaka 15 ila unatamani sijui uhame tu umuachie hayo makazi.
 
Mtu anawezaje kujiua halafu aende kujitupa ziwani?
Maeneo hayo fukwe imezungukwa na mawe , tena mawe yamo mpak kwenye maji ni rahs mtu kusimama kwenye jiwe akajipiga risasi Kwa vyovyote vile akianguka anaangukia kwenye maji , maeneo haya ni karbu kabisa na mwili ulipokutwa , yawezekana alijongea mpak pande hzi akajilipua

 
Mwanaume kuwa na wivu kuelekea mwanamke wako ni ujinga...stress zote hizi ni za kujitakia tuu. Wewe hapa duniani hamna mbususu yako peke yako. Kwani huyo mwanamke alimuoa akiwa bikra?
Tulia dogo unajua maana ya ndoa wewe???
 
kuna watu wanahisi ukiwa na hela ndio unapata kila kitu hadi mpenzi wa kweli
 
Hio sio poa aisee mambo ni moto!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…