Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Kuuaa,kujiuaaa kwa ajili ya mwanamke ni zaidi ya ufalaaa

Ova
Ni zaidi ya ufala,

Nilikauliza ka bro kangu,vipi ungekuwa wewe ungefanyaje??

Dogo akaniambia naachana nae ,wanawake wapo wengi sana na ni wazuri kumzidi[emoji23]

Namtengenezea mdogo wangu mazingira ya kupendwa,sio kupenda kizembe,,,,,,,,,yaani aone wanawake ni kitu cha mpito kila siku wanazaliwa,
 
Sipendi mwanaume anayependa kupitiliza!wanakuwa weak sana
Point sana hii Joan, mtu unapenda kilofa tu unakua kama chizi lazima uwe mzaifu na mwanaume mzaifu ni rahisi sana kucheza na hisia zake, vijana humu hawaelewi wapo wapo tu akili wamezikalia, kuna andiko linasema mwanaume mwenye wivu kwa mke wake anaingia mitegoni imagine that[emoji23]
 
Wasipoelewa na hapa basi hamna namna ingine... Kama mwanamke hajitambui katika nafasi yake hilo sio kosa la mume kumnyoosha, ukisema uache kila mwanamke mpumbavu utaacha wangapi?
 
HV huyu jamaa nae kwa akili yake anamuoaje mrangi
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Warangi wana nini, ila historia haidanganyi muwe mnafuatlia historia za wake zenu watarajiwa ili kujua kabila la mke wako wanahistoria gani
 
Duh asee kwa huu mdomo na matusi mbele ya hadhara lazima mtu ujae nyongo. Halafu mimi mwanamke kama huyu kwa akili na utashi wangu hapo ndio tunakuwa tumeachana siwezi kuishi na takataka kama hii.
Sasa wanawake wengi ni kundi la huyo dada anayetukana mitusi.

Wengi ndio wamejaa humu.

Hapa hutawaona ila huyo mama akishakula za kichwa ndio utawaona wanalalama hapa.
 
Dah huyu alistahili hata magazine 5 kabisa, si risasi 7. Inaonekana mwamba alikuwa mstaarabu sana ila kupenda kahaba ndo kumemponza. Ndo maana hadi kajiua

Ila angewakuta hapo ukumbini angefagia hadi mchepuko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] angemaliza wote.
 
Hata kwenye dini tunaambiwa mbabe zaidi na mwenye nguvu ni yule mwenye kuweza kuzizuia hasira zake.

Na mara nyingi ukiwa mpole na mstaarabu baada ya kuudhiwa karma ndio inakuwa mlipaji wako wa kisasi. Muhimu subrah tu
Nakubali mama
 
Sasa huo ndio uswahili wenyewe aliokuwa nao
Kwani anafanya yeye? Si pesa inafanya.
Kuna watu ni warembo haswaaaaa na wanaweza kubalance kote.
Kwanza utajiitaje pisi kali wakati unalala kwenye nyumba kama stoo? Yani haiko arranged na hata stoo yenyewe inakuwa na mpangilio.
Urembo wa mwanamke aliyefundishwa vyema unaanzia nyumbani kwake kwa mazingira yanayomzunguka kama hujui
 
Unapozungumzia ishu kama hizi simama kwenye mzizi wa tatizo, kwako wewe unawezaje kupigiwa simu na mumeo zaidi ya mara 20 na usipokee kisa umechoka??

Kwako wewe unaweza kwenda sehemu ya starehe wakati mumeo amekukataza kwenda huko??

Kwako wewe umepawa ruhusa kufanya kaza nje ya mkoa unaweza kuzidisha siku ulizopewa na mumeo??

Haya turudi kwenye mstari wa hoja zako, kwa uelewa wako unapoolewa unahisi wewe utakuwa na sauti kwenye hiyo ndoa?? Kwako wewe uko radhi ufanye ujinga wa kugongwa nje kisa tu mtaachana?, unajua gharama anazotumia kukuhudumia hasa muda na mali zake katika kukuweka wewe na familia yako sawa??

Muda hauwezi lipiwa kirahisi hivyo, kuepusha hilo zogo lazima uwe mpole kwa mumea tu. Ukipigiwa simu na mumeo pokea hata kama akitukana atatukana na atamaliza kwa kukusikiliza na hivyo ndivyo tulivyo wanaume. Ni bora upate mwanaume anayekutukana kwenye hiyo simu kama umezingua kuliko aliyemkimya.

Wanawake mnapokubali kuolewa lazima mkubali kuwa mko chini ya mtu na huna mamlaka yoyote juu ya maamuzi ya familia zaidi ya ushauri kwa mumeo. Kiburi huweza kukuletea madhara makubwa sana.
 
Mbona demu ni wakawaida sana,au hiyo rangi ya kirangi inawazuzua??
Umeona eeh
Mbona wa kawaida sana tena hata mavazi yake sio ya kihivyo. .mrembo gani anashona nguo kwa fundi wa uswahilini haina hata finninshing?? Nguo isiyo na mabega alivyovaa unaona ilivyopwaya kila mahali?? Mshamba tu aliyezibuka baada ya kupata wa kumpa hela mbili tatu mjini
 
Aisee madini wanayotoa warembo wa jf yanakushawishi uweke mke ndani lakini unabaki unajiuliza hawa wa jf sii ndio hawa hawa wa mtaani🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…