Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

daah nimeona picha za mwili wa baharia mwenzetu,aisee na denge lake linawaka vile vile,msumari umeingia kidevuni na kutokea juu kichwani[emoji24][emoji24][emoji24].

inasikitisha sana aisee.
Dah enaseketesha sana
 
Acheni uoga oeni wanawake wazuri na wakupendeza. Kuchapiwa ni bahati mbaya, ata ukioa demu mbaya unaweza kuchapiwa tu. Haya mambo hayana formular
 
Mabinti wapenda hela nao kwa kweli iwe fundisho kwao
Haki/huduma ina wajibu
 
Hakuna shaka kabisa.. Picha inajieleza wazi kabisa! Slay aliyejaa dharau !
Hata dada yake alipohojiwa u- tube, pamoja kuwa kwenye huzuni bado sura inaonyesha imejaa kiburi cha uzuri , kiburi kimeshakuwa kama muhiri usoni , kimekomas, hakifichwi na huzuni wala lolote, lazima walikuwa viruka njia wa mijitu yenye pesa hao,
 
Wanawake hawapendi wanaangalia maisha yapo wapi simple as that. Sasa wewe jidanganye kuwa wapendwa itakula kwako
kundi kubwa ila wapo wachache ambao wako resonsible na maisha yao, huwa hawajali kipo au hakipo alimradi mnaheshimiana tu!
 
kundi kubwa ila wapo wachache ambao wako resonsible na maisha yao, huwa hawajali kipo au hakipo alimradi mnaheshimiana tu!
Hao ni 1 in a million....so tz wapo 30 tuu...gud luck finding one🤣🤣🤣🤣🤣
 
Sikuzote tunawaambia hawa wanawake humu, kama mwanaume humpendi usipokee hata hongo zake! Wengine walivyo mabogaz wanakula hela na kujisifu wakijiona wajanja matokeo yake wakiitwa hawaendi, wengine wanaona bora waolewe kabisa ila wanakuwa wapo kwa sababu wamepewa mitaji ya biashara ama kujengewa nyumba na kupewa hela za starehe!

Acheni mchezo na hisia za watu nyie. Mtu unaona kabisa humpendi mkatae mapema msitafute justification za kula hela za wanaume kwa kukubali ndoa halafu mnafanya umalaya mkiwa ndoani! Mtaishaaa!!!
 
Mwanaume au mwanamke yeyote asiyetulia ndio pekee anaweza kuona simu ya mwenzi wake kama ni kero. Ila kama unampenda mtu wako uko tayari hata kama unafua simu iko sikioni. Ni malayaa tu ndo huona simu za wenzi wao kama hazina maana na ni kero.

Halafu inakuja vipi huduma upate kwa said halafu utamu ukagawe kwa wengine... Yani huwa sipendi mauusiano yasiyo na uaminifu maana nilishayapitia. Yani unapiga simu linapokea baada ya kupiga mara kibao then linadanganyia ubize.

Risasi zitatembea sana hadi pale mlioolewa mtakapoacha kudanga. Wasukuma ni wastaarabu sana kwenye mahusiano huwa hawana tabu zaidi ya kujua kupenda . Kikubwa tu umpatie nafasi ya kuwa mume na wewe uwe mke ambaye Ana utii na unyenyekevu.
Labda wakurya ndo watata (wakurya msinipopoe).
 
7bu ya njaa mkuu nadhani hujui njaa
 
Hao ni 1 in a million....so tz wapo 30 tuu...gud luck finding one🤣🤣🤣🤣🤣
Hapo ndipo kuna tofauti ya madomo zege wapenda shortcut na mabaharia! Mi situmii hela kupata mwanamke nimtakae ila wajinga wajinga wanafungana mota kutafuta hela ili wahonge madem wapate mbususu!

Ndio hawa wanaooa malaya bila kujielewa!
 
Simu ni mwiba kama hamna uaminifu! Iwe kwa ME au KE!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…