Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Ndio huyo. RIP.
 
Sijui Hawa Vijana wakikua wataelewa maana ya mapenzi au ndio hawatafika ukubwani maana watakuwa wameshajiua kisa mapenzi?Wakiweza kujua hisia zinakuja,zinaishi,na zinaondoka pia wasingepaniki.. Hawajui kwamba maumivu ya kumpoteza unaempenda sio permanent huwa yanaisha kabisa.......
Shauri Yao waache wandekeze ujinga wataendelea kufariki kwa mapenzi.
 
Chai na kashata
 
Mbususu is very expensive, huoni huyo mwenzio kaona ina thamani ya uhai wa mtu?!...
🤣🤣🤣🤣 Mbusu ya kawaida tu. Ni yeye na wenge lake,angekuwa hata ameonja za kiarabu,kilatino Americans na watt wa Putin walai angeiona ya kawaida tu iyo mbususu. Tangiapo vyombo Kama ivyo ukienda karatu kutalii unazikuta zipo kwenye loji Kama Ile Beijing yaani ni wewe na alfu kumi mpaka asubuhi yaani watt utadhani wametoka Ethiopia. Kiukweli tz tumebarikiwa nawasihi wanaume wenzangu mfanye utalii karatu babati na kondoa ama singinda hutojuta
 
Huyo mume kwa Nini apige simu Mara 42 sijui 37?inahisi Ni mzima kweli?Mimi sikatai Kama huyo demu alizingua Sasa ndio amuue na yeye ajiue?huyo Ni ujinga na ushamba wa Hali ya juu Sana.....angemuacha angepata mwanamke mwingine tu fasta dunia has a lot to offer
 
msirahisishe mambo nyinyi,waja tunasema yasipokufika mshukuru Mungu na omba yasikukute.

wewe ni mjanja kuliko huyu muuza samaki aliyekwisha kutoboa???
wewe ni mjanja kuliko huyu jamaa aliyeuziwa mpaka pistol??
wewe ni mwerevu kuliko jamaa aliyekwisha kuwa na boat za kuvulia??

No ni kiburi cha nyuma ya keyboard,tema mate chini jiombee na ukiombee kizazi chako.
 
Oooh ushaanza mahubiri Tena?Ni mshamba ndio huwezi kuua mtu kisa mapenzi na ujiue kisa mapenzi.... Rubbish!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…