Mambo mengine ni ya kujitakia, kabla hujaoa jiulize mambo ambayo yatakuongoza kumpata mtu sahihi, kila mwanamke ana kasoro zake ila wanatofautiana, hayo yanawakuta watu wasio kuwa makini unaishi na mwanamke alieachika kweli una sound mind?Mkuu nakuweka kundi moja na huyo niliyemjibu hapo
kuna mambo yako nje ya uwezo wetu huwezi kuleta umwamba kwenye jambo kama hili
Ni vile tu hayajakukuta Mwombe Mungu akuepushe ndugu
Hatakuelewa huyo, ameshailisha akili matango poliTatizo sio mwanamke tatizo ni huyo jamaa, Unaoaje mwanamke wa show of halafu utegemee kupata heshima?
Mwamba si unaona wanasema alikuwa na mazoea ya kufyatua Risasi nyumbani kwake ,huenda hakuwa timamu muda mrefu tu
Dictator na bilionnea Putin Vladimir Hana mke...Hawa watu sio rahisi kuishi nao, hasa ukishakuwa tajiri.View attachment 2245830
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mimi Sina hata wa kunipiga konzi, sembuse huyo wa kunifyatulia risasi....siendeshwagi na mapenzi mimiJiandae ww unaonekana unakiburi sana
Unamkubali sana Putin joannah!Dictator na bilionnea Putin Vladimir Hana mke...
Duu mama umemaliza kila kitu. In short Kuna pisi hata mie lombo haisimami kabisa so nakuelewa. Lazima uwe naye mvuto Ila isiwe priority ya kwanza.Uzuri unaisha ndani ya muda mfupi ndio uoe mwanamke sio attractive in your eyes?!
Tabia haitengenezi strong bond,chemistry does!..its chemistry between you two ndio itakayokuwa kama buffer kwenye relationship yenu...
Chemistry; wewe anakufeel, attractive, wanted, sexy, yuko contend and feel secured, akiwa na wewe, na wewe pia hivyo hivyo kwake..... sasa one element ya chemistry ikitoka (attractiveness) jua relationship yako iko kwenye vulnerable position.....!!!
I agree uzuri hauishi milele, but so does tabia, is subject to change, mfano leo mimi ni mwanamke mwema.. namlea mama yako vizuri, mama yako labda ni uzee au mimi sizai, anaanza kunichokonoa, bado nitabaki vile vile?? lazima nitachange attitude ama kuanza kumtreat vibaya, tabia yangu ina change.. au mfano wewe una stress kazini, umeanza kunywa pombe na kuanza kutoka na mala*ya wengine, na mimi natafuta attention somewhere else...you see hata tabia nayo inabadilika pia, na ndio maana unasikia huyu zamani alikua muhuni kweli ila kabadilika......lol
Halafu nimesema sio uoe mwanamke mzuri peke yake bali mwanamke mzuri+tabia nzuri, ila usi substitute kamwe na Mwanamke unattractive in your eyes kisa ana tabia nzuri, mta create unhappy home... kwa sababu kama humuoni attractive ataifeel /atajua tu...huwaga tunajuaga..lol...,atabaki hana furaha/ insecured, na mapenzi mmoja akiwa hana furaha, ngumu kutengeneza bond kwenye mazingira ya hivi...usinidanganye..lol
i agree ni ngumu sana to satisfy human's ego...ila tunapunguza chances za kutoka nje hapa..lol...
Uzuri unaisha ndani ya muda mfupi ndio uoe mwanamke sio attractive in your eyes?!
Tabia haitengenezi strong bond,chemistry does!..its chemistry between you two ndio itakayokuwa kama buffer kwenye relationship yenu...
Chemistry; wewe anakufeel, attractive, wanted, sexy, yuko contend and feel secured, akiwa na wewe, na wewe pia hivyo hivyo kwake..... sasa one element ya chemistry ikitoka (attractiveness) jua relationship yako iko kwenye vulnerable position.....!!!
I agree uzuri hauishi milele, but so does tabia, is subject to change, mfano leo mimi ni mwanamke mwema.. namlea mama yako vizuri, mama yako labda ni uzee au mimi sizai, anaanza kunichokonoa, bado nitabaki vile vile?? lazima nitachange attitude ama kuanza kumtreat vibaya, tabia yangu ina change.. au mfano wewe una stress kazini, umeanza kunywa pombe na kuanza kutoka na mala*ya wengine, na mimi natafuta attention somewhere else...you see hata tabia nayo inabadilika pia, na ndio maana unasikia huyu zamani alikua muhuni kweli ila kabadilika......lol
Halafu nimesema sio uoe mwanamke mzuri peke yake bali mwanamke mzuri+tabia nzuri, ila usi substitute kamwe na Mwanamke unattractive in your eyes kisa ana tabia nzuri, mta create unhappy home... kwa sababu kama humuoni attractive ataifeel /atajua tu...huwaga tunajuaga..lol...,atabaki hana furaha/ insecured, na mapenzi mmoja akiwa hana furaha, ngumu kutengeneza bond kwenye mazingira ya hivi...usinidanganye..lol
i agree ni ngumu sana to satisfy human's ego...ila tunapunguza chances za kutoka nje hapa..lol...
Mkuu,mwanamke haaminiki....hata umbebe mgongoni. Ishi nae kwa machale sana.
Mfn huyo aliyeuliwa amekatazwa kwenda yeye analazimisha so what? She deserved not less than ten bullets za kutoa ONYO. Saba ni chache mno....
Tema mate chini mdogo wangu. Labda huwa unawakataa ama unapenda kuwa independent lady🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mimi Sina hata wa kunipiga konzi, sembuse huyo wa kunifyatulia risasi....siendeshwagi na mapenzi mimi
Na sheria ya ndoa bado inakutaka mwanamke wa hivyo,umtunze kila kitu,asichangie chochote nyumbani,wakati halei watoto inavyotakiwa,kazi zinafanywa na daycare, boarding na housegirls.Kuwaacha huru kunawafanya wadai uhuru kila mahala, mpaka kwenye ndoa pia nao wanadai uhuru na 50/50 matokeo yake jamii zinakuza watoto matoy na marobot..
Leo hii Mwanamke yuko busy hawezi kulea mtoto na watoto wanashinda daycare, baada ya hapo bording, wakirudi nyumbani kuna house girl....unaambiwa mama yuko busy anatafuta hela kifupi wote yeye na mume wake wote wamekuwa busy wanatafuta hela ambazo hazijulikana ni za kazi gani....
Hawanitaki Wenyewe kaka...Mimi Ni mbayambaya flan.Tema mate chini mdogo wangu. Labda huwa unawakataa ama unapenda kuwa independent lady
Unamkubali sana Putin joannah!
Kmly [emoji16][emoji16][emoji16]Diamond fahidi maisha na umaarufu kadri unavyoweza maisha hayana second chance kula bata kaka lahiti ningekuwa na umaarufu hata wa kingwendu tu mngenikoma
aise hii si golden chance hii!! ngoja nijaribu bahati yangu !! joannah ,unaonaje tuyajenge ,huenda mm ndo chemistry wako kindakindaki!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi Sina hata wa kunipiga konzi, sembuse huyo wa kunifyatulia risasi....siendeshwagi na mapenzi mimi
Watu washakutana na sekeseke za ndoa,mnayamaliza tu kibingwaNi zaidi ya ufala,
Nilikauliza ka bro kangu,vipi ungekuwa wewe ungefanyaje??
Dogo akaniambia naachana nae ,wanawake wapo wengi sana na ni wazuri kumzidi[emoji23]
Namtengenezea mdogo wangu mazingira ya kupendwa,sio kupenda kizembe,,,,,,,,,yaani aone wanawake ni kitu cha mpito kila siku wanazaliwa,
Comment ya Jezebel hii lishazoea kudanga night club.Acha ushamba mke kwenda kwenye show fatizo nini bwana kama ndio kitu kinamburudisha?
Acheni ujinga bwana mwanamke anaweza kwenda out na marafiki zake wakike wakaenjoy ...mbona tunawaachia waende kwenye kitchen party
Haya maongo yanajitungia tu story. Huyu alikuwa mvuvi sa dagaaMbona kama story moja watu wawili tofauti
Kabisa..Jamaa angekuwa Smart ange move on.
Wakati mwingine ushamba nao tatizo.
Siyo kila mwenye pesa ni Mjanja.