Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Umenikumbusha Ile movie ya "deep water" aisee ni balaa jamaa yupo kimya akiona mke wake ana shikwa na vinjemba mwishowe ana wauwa kimya kimya akirudi nyumbani ana smile bila shida.
 
Kuna vya kusikiliza na vya kupuuza. Kama hayo mambo ya show yakazi gani mtu ushaolewa na familia yako. Usipoenda itakupunguzia Nini
Kwani mtu akiolewa starehe zinaachwa?

Kwahiyo shoo zote zinazowekwa ni kwaajili ya wasio olewa tu? Au vijana tu?

Hamna mnayowasikilizaga huwa mnaona kama wanawake hawana haki ya kuwa na mambo yao wanapenda.

Unakuta mwanaume anakataza mke hata kwenda msibani, kwenye harusi, kusalimu ndugu ili mradi tu kiduke kasema.
 
Hawanitaki Wenyewe kaka...Mimi Ni mbayambaya flan.
Sasa wewe ndiye wafaa kuwa wife material Mana kwanza hauna ushindani huko nje,ukiwa kisu Sana nayo ni majanga. Sema najua unazuga eti wewe ni mbayambaya ,utakuwa ni kisu hatari.mana huwa naishi kwa kanuni moja mwenye nacho huwa anajishusha Ila ambaye Hana anajinyanyua.
Ambaye Hana maarifa Sana na kitu ndiye mwenye kuongea sanaa kuhusu icho kitu sema ambaye anajua icho kitu nje ndani hauongei kitu anakaa kimya.
Mwenye kusema unanijua Ina Mana Ana low self-esteem so anajinyanyua..na wewe utakuwa ni kisu Sana hata unalindwa na bastola ndani so umeamua kujishusha. Mie nakunyanyua kuwa u kisu Cha Moto Tena Cha almasi na sio Cha chuma
 
Kwahiyo mnakataza wake zenu wasifanye mambo wayapendayo kwakuwa mmepewa mamlaka ya kutiiwa?
 
Mkuu unaongea vitu vikubwa sana hawa watoto humu ukizungumza mambo ya chemistry na attraction hawawezi kukuelewa kamwe.
 
Ukishaolewa tulia mama achana na mambo ya kutaka kuishi kibachelor kwenye ndoa utaleta maseke.

Hizo za harusi, misiba n.k zinaeleweka ila kwenda bar sijui disco sijui kwenye show sijui kwenye birthday huo ni upuuzi na utoto wa watu ambao wamevamia ndoa. Hasa hasa ikiwa ni mwanamke.
 
Sio tu unapelekeshwa na mtu mmoja, unapelekesha na mtu mmoja ambae umeanza kuishi nae 5 months ago. Yani a total of 150 days! Wewe umeishi miaka 36.5 vizuri kabisa, lakini ndani ya miezi mitano una give up all your life, your dreams, your future, kazi yote waliyofanya wazazi wako kukulea, kukusomesha, unawaacha wote wanaokutegemea, ndugu jamaa na marafiki, dili zako zote, watu unaowadai, vyote hivyo unafuta kisa MWANAMKE! Huo si ukichaa..??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…