sibbonnobo
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 722
- 885
Wasitutie moyo kuna wanawake wana miili kama simtank tako halijulikani, kifua hakijulikani miguu kama fito yaani ni shida tu..Anakufuru huyu jamani.
Hapa mtaani kuna Guruguja hata ijilembe vipi hainogi na haitustui kabisa na inafanya kazi taasisi fulani kubwa.
Make up zimemsaidia kupunguza ubaya ila mbaya tu ht iweje.
Uzuri utumwa kyaaaa!Wakuu story ni kwamba huyu jamaa kwenye picha amemuua huyo mkewe usiku wa kuamkia leo huko Mwanza ikidaiwa ni baada ya kumkataza mkewe asiende kwenye show ya Mondi.
Baada ya kumwambia asiende kwenye hiyo show ya Nasib Abdul, mke akakaidi akaenda.
Jamaa amempiga risasi saba za kichwa na inasemekana na yeye kajiua japo maiti yake haijaonekana.
Ila na nyie Wanawake mpunguze visirani. Inaonesha jinsi huyu Marehemu alikuwa mkaidi na hamsikilizi Mme wake.
Mme kakuambia sitaki uende pahala fulani then wewe unakaidi ni nini kama sio dharau na kiburi?
By the way anything else Happen for a reason.
RIP Binti Mzuri
==================================
Baada ya kifo cha Swalha Salum kilichotokea Mei 28, 2022 maeneo ya Busweli Jijini Mwanza, Mama mzazi wa marehemu, Bi Tiba Mohamed anasimulia kilichotokea kuhusu ndoa ya mwanaye na mumewe, Said Oswayo ambapo wahusika hao wamedumu katika ndoa kwa muda wa miezi mitano, kwani walifunga pingu za maisha Desemba 30, 2021.
Anasimulia: “Watoto wangu waliitwa na baba yao hapa nyumbani (Mei 28, 2022), walipofika baba yao akapata dharura hivyo hakuzungumza nao nikabaki nao tukawa tunataniana tu.
“Alikuwa akinitania kwa kufurahi kuwafunga Simba akawa anishawishi na mimi nihamie Yanga (Yanga iliifunga Simba bao 1-0 siku hiyo kwenye CCM Kirumba Mei 28, 2022).
“Baadaye baba yake akapiga simu na kusema mume wa Swalha amepiga simu kumjulisha kuwa amefika na hivyo Swalha aende akampokee Igombe.
“Swalha akasema gari yake haina mafuta, hivyo wakakubaliana wakutane nyumbani na mwanaume akasisitiza kuwa ana njaa sana, akamtaka mke wake aende akampikie.
“Nikawasindikiza hadi barabarani mida ya saa moja usiku, muda huohuo mume wake akapiga simu akiwa anafoka, nikamtaka awe na subira mkewe anakuja yupo njiani.
CHANZO CHA UGOMVI
“Kuhusu ugomvi kati yao labda ni kuhusu simu, Jumatano iliyopita alipata tenda ya kwenda kumpodoa bibi harusi Shinyanga. Alipofika huko wakati akiwa kwenye kazi mume akawa anapigapiga simu, Swalha akawa anamwambia asimpigie kwa kuwa yupo kwenye kazi.
“Ijumaa jioni akawa anamtafuta hivyohivyo na kumsisitiza arudi nyumbani, Ijumaa hiyohiyo jioni akarudi akafika nyumbani usiku, mume akawa anapiga simu, Swalha akapokea na kumwambia anaomba apumzike kwa kuwa amepodoa watu wengi na amesimama muda mrefu hivyo amechoka.
“Mwanaume akawa anaendelea kupiga simu usiku huohuo, Swalha akalala, alikuja kushtuka saa tisa usiku akakuta miss call 42. Akampigia alivyopokea wakaanza kukwaruzana tena, mwanaume akawa analalamika na kumfokea alikuwa wapi na anafanya nini mpaka hapokei simu.
“Swalha alivyoona wanazidi kugombana akaamua kuweka simu pembeni ili ugomvi usiwe mkubwa.
“Asubuhi yake mume wake akanipigia simu na kusema kuwa mke wake amemjibu vibaya. Kwa hiyo ndio akapanga kurudi Mwanza.
“Baba yake alivyomuita hapa nyumbani nadhani alitaka wazungumze kuhusu hilo, lakini ikatokea wamepishana na mume alivyofika nadhani ugomvi utakuwa uliendelea.
KUHUSU KUPIGWA RISASI
“Taarifa ni za kweli, pale ndani (wanapoishi Swalha na mumewe) kulikuwa na watoto watatu wametuambia risasi zilipigwa.
“Wanasema huyo baba alikuwa na kawaida ya kuijaribu silaha yake, mara nyingine anapiga hewani, hivyo walivyosikia mlio wa risasi wakaendelea kulala.
“Ni hadi waliposikia Swalha amepiga kelele mara moja tu lakini risasi zikawa zinaendelea kupigwa. Mtoto mmoja akaenda kusikiliza mlangoni kwa Swalha kisha akatoka mbio kwenda kuwataarifu majirani.
“Wakaenda Polisi, kumbe yule mtoto alivyotoka tu yule baba naye (mume wa Swalha) akaondoka. Polisi walivyofika wakauchukua mwili wa Swalha.
“Taarifa za tukio sisi tulianza kuzipata kutoka Kisiwani huko anapofanyia kazi (mume wa Swalha), ndipo majirani wa Swalha na askari wakaja kutoa taarifa wakisema mwanangu ana hali mbaya ameshambuliwa kwa risasi.
“Baba Swalha akaondoka na ndugu zangu kwenda huko maana nilibaki nyumbani, niliishiwa nguvu baada ya taarifa hizo, nikashindwa kwenda, saa tisa usiku wakarejea na ndipo nikajulishwa kuwa Swalha ameshafariki dunia.
“Marehemu hakuwa na mtoto na sijajua nini kinaendelea mpaka sasa.
“Kuhusu huyo mume wake haijulikani yuko wapi, kwani Polisi mara ya mwisho walisema wameangalia simu yake ikaonekana yupo maeneo ya Tunza.”
JESHI LA POLISI LINAMSAKA MTUHUMIWA
Taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Ramadhani Ng'anzi ni kuwa ni kweli tukio hilo limetokea kutokana na mgogoro wa ndani wa kifamilia na mtuhumiwa ametoroka, anaendelea kusakwa kwa kuwa alitoroka baada ya tukio.
Kuhusu madai kuwa mtuhumiwa ni mtu wa usalama kama inavyodaiwa na baadhi ya watu amesema sio kweli, ni mvuvi na anamiliki silaha yake kihalali. Jina lake halijatajwa kutokana na sababu maalum.
MUME NAYE AKUTWA AKIWA AMEFARIKI
Said Oswayo anayedaiwa kuhusika na mauaji ya mkewe, Swalha Salum ikidaiwa alimuua kwa kumfyatulia risasi kadhaa amekutwa amefariki na mwili wake kuokotwa kando ya Ziwa Victoria katika Ufukwe wa Rock Jijini Mwanza, leo Mei 30, 2022
Kaimu Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mwanza, Mairi Makori amesema: "Mwili umekutwa kandokando ya ziwa na umetambuliwa na mmoja wa ndugu zake. Umekutwa na tundu kichwani."
"Inavyoonekana hajafia hapa, aliletwa na maji, inasadikika amejiua kwa risasi lakini uchunguzi unafanyika na tutatoa ripoti kamili."
Kweli mkuu Angalia tu wanaojiuza kwenye mitandao, barabarani usiku, kwenye ma-night club n.k asilimia kubwa ni warembo wanasubiri njema ifungue wallet wakatanue mapaja.Mwanamke mzuri ni wa sterehe tuu full stop,unaoa mwanamke anatongozwa na kila mwanaume na kama hajielewi basi kila mtu anajipigia tuu
Mwanamke kama yule hata ukimuoa hatokuwa wako peke yako. Kwanza kiumri tu damu bado ni damu ya nyenge nyege anahitaji kutesti aina mbali mbali za mitambo ukizingatia na shughuli anazofanya ndio kabisa. Yule ni wa kupiga na kuondoka unawaachia wengine. Lakini kwenye suala la ndoa bado kabisa kuwa committed.Unaoa mwanamke mzuri na maarufu afu bado unamuacha aendelee na biashara zake za kusafiri safiri,jamaa jinga sana
Ndege wawil wafananao huruka pamoja na ujueSidhani kama alikosa means ya kuitafuta ya kiamani kabisa, shida kuna watu mnapenda mifumo dume sana sio kila jambo utakua mkali, jaribu pia kumpa nafasi mwenzako vitu anavyopenda mnataka mfanane kila kitu kama hupendi mziki yeye anapenda mpe nafasi unaweza mpeleka wewe ukaenda sehemu tulivu ukimsubiria atoke simple
Wabongo bhana!!!, Yaani muda wote mnawaza ushirikina tu.Hebu tujikomboe kifikra,tumedumazwa mno kiakili kwasababu ya kudhani kila janga linalotupata limesababishwa na ushirikina.Jamaa alizingua mno.
Ila wale watu wa visiwani huwa na ushirikina mno unaweza kuta waliona wampoteze jamaa kupitia wanawake. Mengine ya visiwani hayawezi kusemwa huku. Ila tambua huko ziwani kuna ushirikina mno.
Nyuzi za jana na leo zinatuogopesha ambao bado hatujaoa.
Kule znz ...mwanamke wa ki tanga kachinjwa mwaka huu mwanzoni .. .utulivu ziro.. ..Itabidi niongeze mke wa Pili from Tanga
Kwa akili hizi, i bet, YOU ARE THE NEXT, tutaandika hapa stori zako siku si nyingi. 50/50 au sioNi kwasababu ya mahari tu?
Kwamba mke awe mtumwa tu.
Hebu tujaribuni kuondoa hii nature isiyo na manufaa kwa ustawi I a mahusiano.
Mke na mume wasikilizane
Mimi nimechagua kutoa taarifa. Na wala sijiuiWenzio hawasemagi, ni. Mara moja tu
Yani how come unaua kisa mapenzi....hyo kitu uwa sikubaliani nayo especially kwa age yake.Miaka 37 unaua kisa mapenzi.Kwa nini? Naona upo tofauti na comments nyingi hapa.
Sura ya jamaa inaonekana tu kwamba ni mtu wa hasira za karibu.
Nimesoma nakusoma inasikitisha sana, hivi wanaume hawa cheat wake zao? na uhakika wanaume wanaongoza katika kuwazunguka wanawake sasa mwanamme tumuhukumu kivipi? Mwenyezi Mungu wacha aitwe Mungu alimuwekea mwanamke bikra ili iwe zawadi kwa mumewe na heshima watu wanaokotana tu,Unaokota mwanammke unajuwa history yake vizuri umemkuta kisha pendezeshwa na wengine halafu unataka kumiliki wakati unajuwa wako walioshindwa. Jamani muwe mnatizama wa kuowa na wa kupitisha muda sio kila mwanammke wife material. Unamtongoza mwanamke club hujiulizi alifikaje huko?Tu
Pamoja na athari zinazopatikana baada ya kuua yule aliyekufanyia ubaya,ndo unamuacha unaenda kwa mwingine,huoni huo mchezo utakua unafanyika hovyohovyo?
Wadada na akina mama wakubaliane na hali tu,kua ukifanya vile ambavyo mwanaume aliyejitoa kwaajili yako,kakujengea nyumba,anasaidia wakwenu,yawezekana unamuibia na nyingine,uwe tayari kwa adhabu yoyote ile,after all hata asingejipiga risasi,angekufa tu,asingefika 20300,wanakera sana baadhi ya wanawake.Marehemu asipangiwe nini angefanya.
Haya mambo yanashangaza sana.Nimesoma nakusoma inasikitisha sana, hivi wanaume hawa cheat wake zao? na uhakika wanaume wanaongoza katika kuwazunguka wanawake sasa mwanamme tumuhukumu kivipi? Mwenyezi Mungu wacha aitwe Mungu alimuwekea mwanamke bikra ili iwe zawadi kwa mumewe na heshima watu wanaokotana tu,Unaokota mwanammke unajuwa history yake vizuri umemkuta kisha pendezeshwa na wengine halafu unataka kumiliki wakati unajuwa wako walioshindwa. Jamani muwe mnatizama wa kuowa na wa kupitisha muda sio kila mwanammke wife material. Unamtongoza mwanamke club hujiulizi alifikaje huko?
Wendawazimu tu, sijui kapata faida gani huko alipo.Yani how come unaua kisa mapenzi....hyo kitu uwa sikubaliani nayo especially kwa age yake.Miaka 37 unaua kisa mapenzi.
Unafiki wa wadada,kwanini usikatae kua. mimi sitaki kuolewa,kama unataka huduma sawa,ntakupa,kuliko kuaminisha wanaume kua japo umenikuta sina bikra,ntakua mwaminifu kwako,badala yake unaolewa halafu ex wako akikutaka unasaliti,kwanini usingeolewa naye?Wanawake waache tamaa na unafiki,wataendelea kufanyiwa vile ambavyo wanaotendewa wanataka.Tusiwapangie wanaume wanaosalitiwa na wanawake,eti wasiue,wao wafanye vile watakavyo,maana hatujui wameaminishwaje na hao wadada.Nimesoma nakusoma inasikitisha sana, hivi wanaume hawa cheat wake zao? na uhakika wanaume wanaongoza katika kuwazunguka wanawake sasa mwanamme tumuhukumu kivipi? Mwenyezi Mungu wacha aitwe Mungu alimuwekea mwanamke bikra ili iwe zawadi kwa mumewe na heshima watu wanaokotana tu,Unaokota mwanammke unajuwa history yake vizuri umemkuta kisha pendezeshwa na wengine halafu unataka kumiliki wakati unajuwa wako walioshindwa. Jamani muwe mnatizama wa kuowa na wa kupitisha muda sio kila mwanammke wife material. Unamtongoza mwanamke club hujiulizi alifikaje huko?