kinyamkela mahaba
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 1,178
- 1,596
Yes!Kwa hiyo mwanamke akiwa mzuri ndio anatakiwa kuwa mtumwa!? Au what is ur point?!
Uyu apigwe hypersonic missiles[emoji28]Haya ndo tume kataaa next time ni Mtu ana pigwa na RPG[emoji81][emoji81]View attachment 2245810
Kwa usalama wake Yuko sahii,Dictator na bilionnea Putin Vladimir Hana mke...
Tathimini ya harakaharaka utabaini kuwa wanawake ndio wahanga wakuu ktk matukio ya mauaji yanayohusu wivu wa kimapenzi na Usaliti.Haya mambo ni 50/50
Kuna wanawake pia ukiwachezea
Hisia zao wanaku shaya
Cc:yule dem aliyempiga kibiriti na petrol jamaa yk huko mbezi makabe
Ova
Mwanadamu inatakiwa kuushinda moyo, hii najua ni ngumu kwa watu wengiTathimini ya harakaharaka utabaini kuwa wanawake ndio wahanga wakuu ktk matukio ya mauaji yanayo husu wivu wa kimapenzi na Usaliti.
nawashauri wanaume waache jazba kwenye mahusiano, kama humuamini mwenzako ni vyema ukamuacha lakini pia kwa wanawake kama unajiona huwezi kuwa muaminifu kwa mwenzio ni bora uondoke mapema kuliko kusubiria kifo.
Mauaji kama haya hayakubaliki hata kidogo.
Nakazia.Wanawake Wengi ambao ni Watu wa show off hawana heshima kwa wanaume Wao Kabisa, Wao wanajali Bata Tu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kuoa pisi kali ni sawa na kujenga nyumba kwenye hifadhi ya road kila saa unaogopa kupigiwa x.Na nyie vijana mnaoa pisi kali zinawaletea matatizo tu, kila saa utawaza anataka kukusaliti, tafuteni pisi za kawaida muoe
Halafu we mdada umevurugwa...Anampigia simu Mara 42 mtu utasema unamdai Figo!yaani Kuna baadhi ya tabia mtu akifanya ukiwa nae kwenye mahusiano sio Mambo ya kupuuzia.
Putin sio dikteta lakini hapo kuwa ni bilionea upo Sawa.Dictator na bilionnea Putin Vladimir Hana mke...
Wewe mwenye historia za dini mbona umebaki na kejeli badala ya kufundisha acha porojo mzee mimi ni nyani niliekwepa mishale mingi so huniambii kitu