Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

So usipompenda/ usipohudumia siku moja tu na wewe uuwawe,??

Mana huyu mtu kakosa mheshimu siku moja kamdedisha

Na mtafia jela hadi mtie akili
Itakua ujapata taarifa zaid, kilchotokea ni mkusanyiko wa makosa aliokua akimfanyia mume wke, kma ilvo kwa matukio mengine, tatzo lenu nyiny wanawake weng hamjielew na ni akil za panz mnataka maisha mazur na mtu wakua nae mda wote, msaka hela uwez kua nae muda wote so mnaamua ktoka nje,.. ukpenda hela zake kubaliana na yote.
 
Nilipoona kuwa mke mkubwa naye alikufa nilikosa imani na bwana yule
 
Najua humpendi, nimekuwa sarcastic tu hapo. Ila bwana Putin anawapa za uso nyie Pro nato na USA dadeq!
Za uso zipi?tumempeleka mchakamchaka Hadi CD4 zimeshuka yule,kamuangalie afya yake😁
 
🤭🤭🤭Kikubwa uhai kaka..
 
Huyo Said ndo kamuletea mtoto wa watu shida, mke mkubwa kajenga naye nyumba kaacha kuishi naye kwenye nyumba kamuacha atangetange, kaanza kuishi na wanawake bila ndoa wanamkimbia ila Swalha kamuoa kwa ndoa Sasa hao wanawake waliokuwa wanaachwa hovyo hovyo kwa ukorofi wake unategemea nini kama siyo watu wazuri? Bado bi mkubwa alimuzalisha mtoto mwingine akamuacha tena akaenda kufunga ndoa na Swalha huyu alikuwa mgonjwa wa akili.
 
Nilipoona kuwa mke mkubwa naye alikufa nilikosa imani na bwana yule
Hajafa yupo sana mama Ashirafu ila ni makubwa, mke mkubwa ndo kazaa naye mtoto wakiwa kwenye nyumba za kupanga huku wanajenga hiyo nyumba baada ya nyumba kuisha akapigwa stop kukanyaga huko akanyang'anywa na mtoto huyo Ashirafu akaenda kuishi naye huko kwenye nyumba waliyojenga na akawa anachukuwa wanawake anaishi nao bila ndoa wanamlea huyo mtoto wanashindwana wanaondoka ila Sasa Swalha katika wanawake wake wote ndo alifunga naye ndoa hivyo kuondoka kwake ilihitajika talaka kitu kilicholeta ugomvi, hata bi mkubwa hakuwa na ndoa naye ila alimuzalisha tena mtoto kabla ya kufunga ndoa na Swalha hivyo bi mkubwa akawa na watoto naye wawili bila ndoa.
 
Nawakumbusha tu wanawake /wasichana "MLIMEGWA KWENYE UBAVU WETU"
 
[emoji848] mapya yanaibuka kila leo.
 
Kama ni kweli basi mwanaume nae alikua na shida mahali.
 
Katika yote haya, Mbona yule Mchepuko aliyekua na Bidada Mchana wa Siku ya Tukio Mbona Hatajwi ttajwi? Yuko wapi'? Alikuwepo siku ya Mazishi ya Mchepuko Mwenzie?? Ameingia Mitini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…