Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Samahani wakuu, thread unaenda kwa kazi Sana Sasa huyu jamaa alikuwa anajishughulisha na Nini, majina yake na kwa Sasa msiba upo wapi?
 
RIP dada mzuri,

Huyu dada alikua ni make up artist na designer, na ni maarufu mwanza, pia ndoa yao ilikua ina migogoro tangu mda kisa ni Usaliti, mwanamke alikua na jamaa mwingne nje.

Siku ya tukio, Dada na mumewe walienda kwa match ya simba na yanga, baada ya hapo wakarudi home, baadae dada akaomba ruhusa ya kutaka kwenda kuangalia mpira wa UEFA, mumewe akagoma, ktk mabishano bidada akaamua kuondoka kwa kiburi chake.

Sasa kumbe huko kwa Mpira wa UEFA ndo alikua na mchepuko wake, kuna watu walimuona wakamtonya mumewe, machale ya bidada yakamcheza wakaondoka na jamaa ake pale eneo, mumewe alivyofika pale hakuwakuta, kila akimchek kwa cm kimyaa, bidada cm alizima, mumewe akarud home kumsubiri.

Bidada naye baada ya kutosheka huko alikokua na jamaa, akaamua kurudi home, kufika home ndo akakutana na mumewe ktk maulizano bidada akatoa maneno ya kashfa kwa mumewe, mume uvumivu ukamshinda akaamua awashe kitu cha moto, paah paah paaah paaaah paaah, nayeye kusepa hapo hapo.

Marafiki na watu karibu wa huyu dada wanasema alikua anawaambia ukweli kuwa hampendi kwa dhati mumewe, ila yupo nae kwa kuwa ana pesa, na amemsaidia vingi ktk maisha, ila upendo wa dhati kwake hana. Mwishoe ndo haya yaliyotokea.

Mtu km humpendi bora umuache hata km ana pesa, wee kuwa na unaempenda mtafute wote, huku kujidanganya kuwa unaweza fake, matokeo yake ni hataree. Mapenzi yana nguvu mnoo na hayafichiki.

RIP dada mzuri, Tamaa mbele, Mauti nyuma.
nawaza pale unapiga simu haipatikani na kuna ushahidi kwamba uko sehemu na mwanamume mwingine.bora baada ya kugutuka angekipeleka home fasta.
JamiiForums-1882554008.jpg
 
Mungu alitoa amri Wanawake muwatii waume zenu.

Mwanamke ukiona huwezi kuwa chini ya mwanaume ni heri usiingie kwenye Ndoa maana ndoa ni kama utumwa fulani hivi na hata Dini zetu zinatufundisha kuwa Mume ndio kichwa. Hivyo ukishindwa kuwa mnyenyekevu na kufuata maagizo yeke hiyo ndoa itakuwa na viashiria vyote vya kutokuwa na furaha, Sonona au ndoa kuja kuvunjika.

Hakuna kitu kinachomuumiza mwanaume kama kujibiwa dharau na mwanamke wake. Dharau inatoa tafsiri wa umepata njemba nyingine inayokusholeza kuliko wewe ndio maana dharau zinaanza.

Wala sishangai kwa hiki kilichomkuta huyu Marehemu tena naona kama jamaa ni muungwana sana maana katumia risasi 7 tu, ingefaa zitumie walau 20 na Gunia la mkaa.

Ndoa iheshimiwe na watu wote. Mbona Bibi zetu waliweza kuwatii Babu zetu Why hawa wa sasa wawe jeuri?. R.I.P Mke jeuri

Pia R.I.P jamaa ambae umeongea kwa vitendo, umetendea haki maagizo ya Mwanaume yaendelee kuheshimiwa. Nakuombea upewe cheo cha malaika huko Mbinguni na mwanaume yeyote anaekuja huko mbinguni kwa staili kama yako umtetee asipelekwe motoni, apangiwe kazi nyepesi na Kula bata kwa sana.
 
Kuuan ndio kutoa fundisho kuwa kama umeamua kufuata pesa fuata pesa tuu mambo ya kwenda kugawa mbususu nje huko achana nayo.

Kama wapenda kugegedwa na wanaume wengi basi usiingie kwenye ndoa. Amepata alichokuwa anatafuta.
Wanawake wengi tuu ni njaaa hamna cha usuper woman wala nini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee lol
 
Huyu Dada hakuwa na Utii na Mme Wake, Hakuna watu ambao wanaumizwa na majibu ya Mwanamke kama Mwanaume.
.
Hatuwezi Jua baada ya Marehemu Kurudi Huko Alimjibu Nini Mwanaume Wake.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo? umesoma ulichoandika kweli? hata kama mke malaya au sababu yoyote ile ndio humtoe uhai ili iweje? sasa kamuuwa yeye nini alichopata kikubwa kaharibu maisha yake na family yake. Najuwa kuna maudhi yanatokea katika mahisiano na wakati mwingine unampenda sana na inauma lakini sio kumalizana sababu ya mapenzi. Kama walifikia mpaka kufunga ndoa ina maana walipendana ikiwa yametokea haya kutoaminiana huwezi fanya mchakato muachane japo najuwa sio rahisi. So sad ila mwanamme wa kweli hupigi mwanamke move on.
 
RIP dada mzuri,

Huyu dada alikua ni make up artist na designer, na ni maarufu mwanza, pia ndoa yao ilikua ina migogoro tangu mda kisa ni Usaliti, mwanamke alikua na jamaa mwingne nje.

Siku ya tukio, Dada na mumewe walienda kwa match ya simba na yanga, baada ya hapo wakarudi home, baadae dada akaomba ruhusa ya kutaka kwenda kuangalia mpira wa UEFA, mumewe akagoma, ktk mabishano bidada akaamua kuondoka kwa kiburi chake.

Sasa kumbe huko kwa Mpira wa UEFA ndo alikua na mchepuko wake, kuna watu walimuona wakamtonya mumewe, machale ya bidada yakamcheza wakaondoka na jamaa ake pale eneo, mumewe alivyofika pale hakuwakuta, kila akimchek kwa cm kimyaa, bidada cm alizima, mumewe akarud home kumsubiri.

Bidada naye baada ya kutosheka huko alikokua na jamaa, akaamua kurudi home, kufika home ndo akakutana na mumewe ktk maulizano bidada akatoa maneno ya kashfa kwa mumewe, mume uvumivu ukamshinda akaamua awashe kitu cha moto, paah paah paaah paaaah paaah, nayeye kusepa hapo hapo.

Marafiki na watu karibu wa huyu dada wanasema alikua anawaambia ukweli kuwa hampendi kwa dhati mumewe, ila yupo nae kwa kuwa ana pesa, na amemsaidia vingi ktk maisha, ila upendo wa dhati kwake hana. Mwishoe ndo haya yaliyotokea.

Mtu km humpendi bora umuache hata km ana pesa, wee kuwa na unaempenda mtafute wote, huku kujidanganya kuwa unaweza fake, matokeo yake ni hataree. Mapenzi yana nguvu mnoo na hayafichiki.

RIP dada mzuri, Tamaa mbele, Mauti nyuma.
mama nae anasema alikuwa kwake

 
Huyu Dada hakuwa na Utii na Mme Wake, Hakuna watu ambao wanaumizwa na majibu ya Mwanamke kama Mwanaume.
.
Hatuwezi Jua baada ya Marehemu Kurudi Huko Alimjibu Nini Mwanaume Wake.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hata ingekuwa wewe uache kwenda kumuona mondi live Kati huwa tunamsikia kwenye radio tu. Huyo mwanaume hajitambui kwasababu unamzuia mke wako unapata faida gani
 
Majuto yalimuandama akaona nae ajimalize, na hii ishu ya umiliki wa silaha naona vibali vinatolewa kifamba sana kuna watu hawastahili kupewa silaha, watu wana historia mbovu then unakuja mmilikisha silaha
Ukiwa umevurugwa ata kisu ni silaha.Alafu inatakiwa ujue kua watu wanabadilika kulingana na situation anayokutana nayo kwa wakati huo.Swala la msingi ni wanaume kujifunza namna yakuhandle mitafaruku tunayosababishiwa na wanawake.
 
Huyo muuaji kama hajafa akikamatwa afirwxxx tu kwanini aue binti wa watu hata kama amemkosea?
Kila mtu kazaliwa kwao wamekutana juzi kati tu,anamng'ania sana hadi anaua.
Nasema ashikishwe ukuta maisha yake yote.
 
machaguo ni wawili tu..... either unamtafute anayekugonga na kukusuuza moyo ila hana kitu na uachane na hela za watu au unamtafute mwenye hela na uwe mtulivu..

Utagundua wengi wa hawa ndugu zetu ni Tamaa.

Hakuna Mwanaume utamkuta anamiliki hela za wewe kusumbulia mjini halafu akakuridhisha na matamanio yako..... wengi wenye vipato wamewekeza muda wao kwenye utafutaji wa hela na kuset standard za maisha yao hivyo muda wa kukuridhisha wewe unakuwa haupo..
 
Back
Top Bottom