Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukishaolewa unakuwa chini ya mamlaka ya mume. Kama angekuwa na akili angemshirikisha kwenye jambo hilo mumewe waende wote. Haiwezekani mko kwenye ndoa halafu mke anakuja anakwambia usiku naenda disco naomba ruhusa au nimealikwa kwenye harusi naenda. Ina maana mpk kuchanga alichanga kama yuko single wakati ana mme?Lakini na nyie kwanini kumzuia mwenzako asiende kwenye shoo kitu roho inapenda?
Kwanini mnataka kusikilizwa nyie tu, kwanini wake zenu hamuwasikilizi?
Sasa jamani hiki chingereza cha dictionary mie bodaboda nakiwezea wapi."Never underestimate the potential cruelty of women; their sexual nature is ruthless in easily discarding men perceived to be of low worth and trading up when the opportunity presents itself."
Women are biologically hardwired to be able to branch swing to a higher status man - given the opportunity. Hypergamy is a bitch. One day she loves you, the next day she doesn't care if you're dead.
Na ndiyo maana amepigwa risasi sasa[emoji23]Sasa kama mke wako ana boyfriend wake aende na wewe akupeleke wapi
Jamaaa alioa kisa imewika Wala hakuwaza mbele Sana huko na kazi zake. Yeye angemfanya mchepuko basi. Angetafuta wa kawaida aoe. Mie mchepuko wenyewe nikiona Kuna ushindani nauacha fasta Sana Mana Sina energy ya kushindana ku win mbususu.sishabikii mauaji au aina yoyote ya domestic violence.
ila huyu dada kwa kumtazama haraka haraka,hakuwa wife material.
ni aina ya wale wadada wadangaji ambao wanapenda kushobokea watu maarufu.
roho yake ipumzike mahala pema peponi.View attachment 2244260
Unaweza kumpa vyote hivyo na bado asitulie ila ninachoweza kukuhakikishia bwana mzabzab ni kwamba,View attachment 2244263 kuna nguvu kubwa sana ya mapenzi katika kumkojoza mwanamke. Usipokuwa na busara utawakusanya sana.
Kuna mwanangu mmoja aliambiwa na mke wake akirudi jioni amletee Pad maana Simba walikuwa Wanacheza.
.
Mwamba kazunguka Town Kwenye mishe kasahau kurudi Home, waifu anamuuliza vipi Mzigo Wangu, Jamaa akamwambia samahani Mkewangu nimesahau ngoja nioge nikakununulie.
.
Yule mwanamke akamjibu Jamaa Wanaume Wenzako Wataleta maana ww umeshindwa
.
Demu alipigwa kichwa kimoja akaanguka Kwenye tiles Wala hakuomba hata Maji ya Kunywa.
.
Kauli za Wanawake Malaya Ni mbaya Sana
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Bwana ni kweli ukiwa unamkojoza mwanamke kweli ataenda liwa na wanaume wenye pesa but mbususu atailetaga tuuUnaweza kumpa vyote hivyo na bado asitulie ila ninachoweza kukuhakikishia bwana mzabzab ni kwamba,View attachment 2244263 kuna nguvu kubwa sana ya mapenzi katika kumkojoza mwanamke. Usipokuwa na busara utawakusanya sana.
Mkuu pole Sana Ila ngoja wapo watatafsiri sio Nia yangu sema haya makitu nimeyasoma kwa lugha iyo iyo.jaribu bana najua ni boda Ila una elimu mbona wapo bachelor wanapiga boda mkuu najua na wewe utakuwa hata una masters sema unazuga kwa boda ama kazi maalumuSasa jamani hiki chingereza cha dictionary mie bodaboda nakiwezea wapi.
Hapana sio bifu na Mond. Itakuwa wivu kwa mkewe kuna uwezekano alikuwa anamegewa. Kwa hiyo mkewe kwenda kwa Mond alijua anaenda na machiz. Si unaona chombo yenyewe. Lazima awe na wivuJamaa lilikuwa na bifu kali sana na Diamond maana sio kwa risasi hizo
Tuelezee na tabia za wanaume pia
YesKuna mengi kuliko iyo show ya Diamond
Huyu ndiye yule unampenda unakuwa mtumwa kwake kwanza anakubabaisha kuolewa na wewe.Tuelezee na tabia za wanaume pia
Sawa bado zamu yakoUtawala wa Samia majanga hayaishi...angekuwepo Magufuli lisingetokea hili
[emoji1787][emoji1787]Pisi kali rest in pisi
Mahala pema au ipumzike inapostahili..?sishabikii mauaji au aina yoyote ya domestic violence.
ila huyu dada kwa kumtazama haraka haraka,hakuwa wife material.
ni aina ya wale wadada wadangaji ambao wanapenda kushobokea watu maarufu.
roho yake ipumzike mahala pema peponi.View attachment 2244260
Kundi la binadamu watafuta fursa àmbao akikaa kwako miaka 2 anataka mgawane Kila ulichotafuta Kwa kisingizio cha usawa wa kijinsia.Wanawake msijisaulise kumbukeni ya kwamba mkiolewa uhuru wako anakuwa nao mme wako.
Pili, kama mtu humtaki ama haukuridhia kuolewa nae mkatae mapema afanye mambo mengine sio unamkubalia mtu unalala kwake, unakula pesa zake then bado unaendelea kufanya makando kando huko nje.
Sheria ni moja tu my house my rules, nje ya hapo ni kutafuta ukilema wa kujitakia, apumzike anapostahili mwanamke jeuri na kaidi asiyekuwa na utii kwa mme wake.