BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,950
- 11,295
Sio,yeye huyundio huyu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio,yeye huyundio huyu?
Potelea mbaliiiiSawa na jamaa yenu kajiua nae
Wa wapiMkuu huyo siyo wa singida
Hakuna demu wa kunibabaisha hapa Duniani hayupo,Nina uwezo wa kuhimili hisia kuliko kawaida na Nina psychology ya kubwa Sana Kuhusu mwanamke..Broo usiseme,hujawahi penda demu halafu umejitoa kwake moyo na gharama halafu azingue
Bado zamu yako 😆😆..Potelea mbaliiii
Demu sio average ukikutana naye lazima upunguze spidi ili umu absorb vizuri katika ubongo wakeNaona watu wanaangalia picha ambazo alipiga akiwa keshajiremba
Sasa wanawake wenyewe wakibongo ndio mnaleta ngumu kuolewa muwe wake wa pili ila kuwa michepuko mnaona poa... Kwenye vikao vyenu ambizaneni ukweli tuwawowe michepuko kama wake wadogoUjue heri hio hela ya kumpa mmoja wekeza kwa wake wawili itapunguza presha kidogo aka hedging
Mkuu nifundishe jinsi yakukwepa hisiaHakuna demu wa kunibabaisha hapa Duniani hayupo,Nina uwezo wa kuhimili hisia kuliko kawaida na Nina psychology ya kubwa Sana Kuhusu mwanamke..
Ukute wewe ulipo hapo unahisi huyo mwanamke wako eti ni malaika,pole Sana subiria tukio tuu..
Mwisho ukijifunza ku balance akili na hisia hakuna kitu kigumu ila nyie mnaojifanya kupenda aisee huwa mna matukio huku mtaani hadi sio poa [emoji38][emoji38]
Kuachana nae kuna shida gani hadi kufikia huko kwenye vilema?Ataachwa na kilema, hakuna mwanamme anayeweza vumilia dharau kutoka kwa mwanamke aliyemtolea mahali, never on earth..
Kama muhusika amefariki,na mwingine hajulikani nyie mmejuaje kuwa alimkataza??
Haitakisaidia kitu au unataka nikuhonge?
Mana wanaume akili zenu mnazijua wenyeweSasa wanawake wenyewe wakibongo ndio mnaleta ngumu kuolewa muwe wake wa pili ila kuwa michepuko mnaona poa... Kwenye vikao vyenu ambizaneni ukweli tuwawowe michepuko kama wake wadogo
eti bwana Kuna vitu black vikali hivyoHana uzuri kivileee,mirangirangi tu make ups tu
Ila jamaa kazingua angechana naye tu
Madem wazur ni wengi tu
Ova
Ulianza vizuri sasa unaharibu🤣🤣🤣🤣Mana wanaume akili zenu mnazijua wenyewe
Kwani wewe huwa hutongoz wanawake hususani wake za watu?Mkuu nifundishe jinsi yakukwepa hisia
Ni sawa ila usiseme hupendi kabisa,poa kama hugharamii sawa,pesa inauma mekuHakuna demu wa kunibabaisha hapa Duniani hayupo,Nina uwezo wa kuhimili hisia kuliko kawaida na Nina psychology ya kubwa Sana Kuhusu mwanamke..
Ukute wewe ulipo hapo unahisi huyo mwanamke wako eti ni malaika,pole Sana subiria tukio tuu..
Mwisho ukijifunza ku balance akili na hisia hakuna kitu kigumu ila nyie mnaojifanya kupenda aisee huwa mna matukio huku mtaani hadi sio poa [emoji38][emoji38]
Kokote utakakompata sio guarantee..Mimi hao wa Bar siwezi oa kwa sababu moja tuu ya kwamba kiwango Chao cha utu kimepungua kwa hiyo wanaweza hata kukuua kwa sababu mbalimbali tuu..Mwanamke umempata baa,kumbi za starehe unategemea ukimuweka ndani ataacha kuna vitu vipo ndani ya moyo kuacha haiwezekani labla mhusika aamue mwenyewe,Watu wajifunze kuoa wa kufanana nao.
Binafsi mwanaume hanibabaishi. Mimi akinipiga kofi tu. Tunaachana.Nyinyi kazeni shingo tu.
Hakuna mtunasiyependa kabisa ila unapopenda uwe na stamina kwamba mtu akikukataa usepe sio kulazimisha au kujifanya unaonyesha saaana upendo sijui unakuwa unatafuta nini hasa...Ni sawa ila usiseme hupendi kabisa,poa kama hugharamii sawa,pesa inauma meku