Mr Sir1
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 1,749
- 7,945
pambana na hali yako mzee 😂Tuma link ya telegram
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pambana na hali yako mzee 😂Tuma link ya telegram
Kwan ndio atakua mwanamke wa kwanza huko jela au?Huko jela mke ataishi Maisha mazuri sana
Kwa sisi wakristo hilo ni kosa la kuvunja ndoa kabisa...sema kuna ule ubinadamu wa kusameheNauliza, hapo wataendelea kuwa mme na mke?
Sasa kwann asingempa talaka tu wakamalizana kiroho safi?Safi kiroho safi kabisa..ila hapomwamba halikuwa hampendi mkewe acheni kabisa kuhusu fumanizi..
Amegongewa mkewe na aliyemgonga mkewe kalipa faini kuepuka kifungo ila mke kashindwa kulipa faini hivyo anaenda kutumikia kifungo Cha miezi 6 jela.Yaani amekula mkewe na akafanikiwa kulipa faini, harafu mkewe akabaki gerezani?🤔🤔
Wakiwa wanagongwa huko nje hujiona wanapendwa sana.Hii imetokea kisiwani Zanzibar jamaa kumfumania mke wake analiwa nyumbn kwake wanapoishi yeye na mke wake, baada ya fumanizi jamaa akawapeleka polisi wote wawili mke wake na mgoni wake Kisha akaenda kufungua kesi mahakamani, kesi imesikilizwa mke na mgoni wameamriwa ama walipe faini ya laki 3 Kila mmoja ama waende jela miezi 6, mgoni kafanikiwa kulipia laki 3 ila mke kashindwa kulipa na hivyo ameamriwa na mahakama kutumikia kifungo Cha miezi 6 jela.
Faini ipewe mahakama kwani ndo yenye mke? Mwenye mke na ambaye ni mlalamikaji ndo anapewahivi faini anapewa mshitaki au ni mali ya mahakama
Kwanini mgoni wake asimlipie? Wanawake wanalakujifunzaAmegongewa mkewe na aliyemgonga mkewe kalipa faini kuepuka kifungo ila mke kashindwa kulipa faini hivyo anaenda kutumikia kifungo Cha miezi 6 jela.
Na mm pia nimejiuliza hili ila pengine jamaa ni wale hit & run.Sasa huyo mgoni kwanini asimlipie mbebz wake hiyo laki 3
Ana roho mbaya sana😀Na mm pia nimejiuliza hili ila pengine jamaa ni wale hit & run.
Yaani anidanganye hana mume halafu bado nimlipie, acha akae tu miezi 6 sio mingiHuyo Mgoni angekuwa muungwana angemlipia mwizi mwenzake udhia uishe.
Kumbe Wazenji hawana wivu kwa wake zao! Nadhani angekuwa Mtanganyika, sasa vyombo vya habari vingekuwa vitangaza mazishi na mwenye mke yuko mahabusu!Nauliza, hapo wataendelea kuwa mme na mke?
Good move...Hii imetokea kisiwani Zanzibar jamaa kumfumania mke wake analiwa nyumbn kwake wanapoishi yeye na mke wake, baada ya fumanizi jamaa akawapeleka polisi wote wawili mke wake na mgoni wake Kisha akaenda kufungua kesi mahakamani, kesi imesikilizwa mke na mgoni wameamriwa ama walipe faini ya laki 3 Kila mmoja ama waende jela miezi 6, mgoni kafanikiwa kulipia laki 3 ila mke kashindwa kulipa na hivyo ameamriwa na mahakama kutumikia kifungo Cha miezi 6 jela.
Oa acha ujinga wewBora hata sina mke aisee hizi mambo hizi zisije kunitoa roho bure
Jamaa smart sanaDaah
Mke anaenda kuwa mboga ya bwana jela miezi 6. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]