The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Wake za watu tuliwala kiukweli huwa tunawaona mbwaSasa huyo mgoni kwanini asimlipie mbebz wake hiyo laki 3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wake za watu tuliwala kiukweli huwa tunawaona mbwaSasa huyo mgoni kwanini asimlipie mbebz wake hiyo laki 3
Sitaki hata kuimagine love Nilivo na moyo mdogo uwiii
Hayanaga muongozo...Sitaki hata kuimagine love Nilivo na moyo mdogo uwiii
Ongelea nafsi yako.Wake za watu tuliwala kiukweli huwa tunawaona mbwa
Duh..Hii imetokea kisiwani Zanzibar jamaa kumfumania mke wake analiwa nyumbn kwake wanapoishi yeye na mke wake, baada ya fumanizi jamaa akawapeleka polisi wote wawili mke wake na mgoni wake Kisha akaenda kufungua kesi mahakamani, kesi imesikilizwa mke na mgoni wameamriwa ama walipe faini ya laki 3 Kila mmoja ama waende jela miezi 6, mgoni kafanikiwa kulipia laki 3 ila mke kashindwa kulipa na hivyo ameamriwa na mahakama kutumikia kifungo Cha miezi 6 jela.
Lakini huwa kwa fumanizi red handed si talaka inawezekana kabisaKwa sisi wakristo hilo ni kosa la kuvunja ndoa kabisa...sema kuna ule ubinadamu wa kusamehe
Hakuna anaekuthamin mtu jinga unaenipa uchi wa heshima kwa mme wako .mfano mmeo akifa .nitakuwa zoba kukuoa ww likahaba usie heshimu ndoa yako ndo maana tunawala jicho na ukwel hakuna hawala asiekuanika kwq rafiki zakeOngelea nafsi yako.
Wengine wanathaminiwa
Kumlipia mke wa mtu ni kama madharau vileSasa huyo mgoni kwanini asimlipie mbebz wake hiyo laki 3
Wewe mume wa mtu humvunjii heshima mkeo wa kutembea na mke wa mwanaume mwingine?Hakuna anaekuthamin mtu jinga unaenipa uchi wa heshima kwa mme wako .mfano mmeo akifa .nitakuwa zoba kukuoa ww likahaba usie heshimu ndoa yako ndo maana tunawala jicho
Yah kabisa..yani ni jambo lililoandikwa..hilo
Kwa iyo mgoni kashindwa kumlipia kitu iliyompa utamuHii imetokea kisiwani Zanzibar jamaa kumfumania mke wake analiwa nyumbn kwake wanapoishi yeye na mke wake, baada ya fumanizi jamaa akawapeleka polisi wote wawili mke wake na mgoni wake Kisha akaenda kufungua kesi mahakamani, kesi imesikilizwa mke na mgoni wameamriwa ama walipe faini ya laki 3 Kila mmoja ama waende jela miezi 6, mgoni kafanikiwa kulipia laki 3 ila mke kashindwa kulipa na hivyo ameamriwa na mahakama kutumikia kifungo Cha miezi 6 jela.
drone drake nakuita huku hahahaHii imetokea kisiwani Zanzibar jamaa kumfumania mke wake analiwa nyumbn kwake wanapoishi yeye na mke wake, baada ya fumanizi jamaa akawapeleka polisi wote wawili mke wake na mgoni wake Kisha akaenda kufungua kesi mahakamani, kesi imesikilizwa mke na mgoni wameamriwa ama walipe faini ya laki 3 Kila mmoja ama waende jela miezi 6, mgoni kafanikiwa kulipia laki 3 ila mke kashindwa kulipa na hivyo ameamriwa na mahakama kutumikia kifungo Cha miezi 6 jela.
Hii imetokea kisiwani Zanzibar jamaa kumfumania mke wake analiwa nyumbn kwake wanapoishi yeye na mke wake, baada ya fumanizi jamaa akawapeleka polisi wote wawili mke wake na mgoni wake Kisha akaenda kufungua kesi mahakamani, kesi imesikilizwa mke na mgoni wameamriwa ama walipe faini ya laki 3 Kila mmoja ama waende jela miezi 6, mgoni kafanikiwa kulipia laki 3 ila mke kashindwa kulipa na hivyo ameamriwa na mahakama kutumikia kifungo Cha miezi 6 jela.
Huko tunapoelekea , bora niwe kama akina dangote au bill gate.Hii imetokea kisiwani Zanzibar jamaa kumfumania mke wake analiwa nyumbn kwake wanapoishi yeye na mke wake, baada ya fumanizi jamaa akawapeleka polisi wote wawili mke wake na mgoni wake Kisha akaenda kufungua kesi mahakamani, kesi imesikilizwa mke na mgoni wameamriwa ama walipe faini ya laki 3 Kila mmoja ama waende jela miezi 6, mgoni kafanikiwa kulipia laki 3 ila mke kashindwa kulipa na hivyo ameamriwa na mahakama kutumikia kifungo Cha miezi 6 jela.
huyo kawapeleka mahakamani kwanza ili apate pesa halafu anampa talaka kama angekuws anamtaka asinge muanika hivyo!Sasa kwann asingempa talaka tu wakamalizana kiroho safi?