Mume amburuza mke mahakamani baada ya kumfumania

Mume amburuza mke mahakamani baada ya kumfumania

Hii imetokea kisiwani Zanzibar jamaa kumfumania mke wake analiwa nyumbn kwake wanapoishi yeye na mke wake, baada ya fumanizi jamaa akawapeleka polisi wote wawili mke wake na mgoni wake Kisha akaenda kufungua kesi mahakamani, kesi imesikilizwa mke na mgoni wameamriwa ama walipe faini ya laki 3 Kila mmoja ama waende jela miezi 6, mgoni kafanikiwa kulipia laki 3 ila mke kashindwa kulipa na hivyo ameamriwa na mahakama kutumikia kifungo Cha miezi 6 jela.
Duh..
Mbona adhabu ndogo kwa kosa kubwa?!
Halafu, mwenye mke kapata manufaa gani kutokana na hiyo kesi?
Naona bora ukodishe hitmen au waf*raji tu
 
Ongelea nafsi yako.
Wengine wanathaminiwa
Hakuna anaekuthamin mtu jinga unaenipa uchi wa heshima kwa mme wako .mfano mmeo akifa .nitakuwa zoba kukuoa ww likahaba usie heshimu ndoa yako ndo maana tunawala jicho na ukwel hakuna hawala asiekuanika kwq rafiki zake
 
Hakuna anaekuthamin mtu jinga unaenipa uchi wa heshima kwa mme wako .mfano mmeo akifa .nitakuwa zoba kukuoa ww likahaba usie heshimu ndoa yako ndo maana tunawala jicho
Wewe mume wa mtu humvunjii heshima mkeo wa kutembea na mke wa mwanaume mwingine?
Nani amekwambia akifiwa na mume wake atataka kuolewa na wewe? Au hata kuolewa tena?
Ukiona umemla jicho basi elewa ya kwamba hujamkomoa , ndo starehe yake anafurahia...
 
Hii imetokea kisiwani Zanzibar jamaa kumfumania mke wake analiwa nyumbn kwake wanapoishi yeye na mke wake, baada ya fumanizi jamaa akawapeleka polisi wote wawili mke wake na mgoni wake Kisha akaenda kufungua kesi mahakamani, kesi imesikilizwa mke na mgoni wameamriwa ama walipe faini ya laki 3 Kila mmoja ama waende jela miezi 6, mgoni kafanikiwa kulipia laki 3 ila mke kashindwa kulipa na hivyo ameamriwa na mahakama kutumikia kifungo Cha miezi 6 jela.
Kwa iyo mgoni kashindwa kumlipia kitu iliyompa utamu
 
Hii imetokea kisiwani Zanzibar jamaa kumfumania mke wake analiwa nyumbn kwake wanapoishi yeye na mke wake, baada ya fumanizi jamaa akawapeleka polisi wote wawili mke wake na mgoni wake Kisha akaenda kufungua kesi mahakamani, kesi imesikilizwa mke na mgoni wameamriwa ama walipe faini ya laki 3 Kila mmoja ama waende jela miezi 6, mgoni kafanikiwa kulipia laki 3 ila mke kashindwa kulipa na hivyo ameamriwa na mahakama kutumikia kifungo Cha miezi 6 jela.
drone drake nakuita huku hahaha
 
Hii imetokea kisiwani Zanzibar jamaa kumfumania mke wake analiwa nyumbn kwake wanapoishi yeye na mke wake, baada ya fumanizi jamaa akawapeleka polisi wote wawili mke wake na mgoni wake Kisha akaenda kufungua kesi mahakamani, kesi imesikilizwa mke na mgoni wameamriwa ama walipe faini ya laki 3 Kila mmoja ama waende jela miezi 6, mgoni kafanikiwa kulipia laki 3 ila mke kashindwa kulipa na hivyo ameamriwa na mahakama kutumikia kifungo Cha miezi 6 jela.

Hii imetokea kisiwani Zanzibar jamaa kumfumania mke wake analiwa nyumbn kwake wanapoishi yeye na mke wake, baada ya fumanizi jamaa akawapeleka polisi wote wawili mke wake na mgoni wake Kisha akaenda kufungua kesi mahakamani, kesi imesikilizwa mke na mgoni wameamriwa ama walipe faini ya laki 3 Kila mmoja ama waende jela miezi 6, mgoni kafanikiwa kulipia laki 3 ila mke kashindwa kulipa na hivyo ameamriwa na mahakama kutumikia kifungo Cha miezi 6 jela.
Huko tunapoelekea , bora niwe kama akina dangote au bill gate.
 
Back
Top Bottom