antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Hahaha..BEGI LILIPOKUJA YAAN MWANZA ILINIHUSU NILIUNGA KILA GARI INAYOPANDIKAAAA
Hongera kwa kuokoa kichwa chako, maana ungedakwa tu wangebaki na kichwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha..BEGI LILIPOKUJA YAAN MWANZA ILINIHUSU NILIUNGA KILA GARI INAYOPANDIKAAAA
Wote ndiyo hao hao tu.Hapo kwenye clip wameongelewa mwana wa MASATU (aliyeng'oa mkewe jino), MAFURU (baba mdogo wa mhanga).
Hao ni Wajita, siyo Wakurya
hiyo ni highest level of insecurityJeshi la polisi mkoa wa Mara liunamshikilia mtu mmoja aitwaye Mussa Abdalah mkazi wa kijiji cha Nyakatende wilayani Musoma kwa tuhuma za kufanya kitendo cha ukatili cha kumng’oa meno matatu mke wake kwa kutumia plaizi kwa madai ya kutumia shilling mia mbili kumnunulia mtoto wao andazi.
Watu wana njaa kiasi cha kumn'goa mke wako meno kwa Shilingi 200 tu? Kweli Wabongo muna matatizo ya akili poleni sana Wabongo .Bado mutaisoma namba..Jeshi la polisi mkoa wa Mara liunamshikilia mtu mmoja aitwaye Mussa Abdalah mkazi wa kijiji cha Nyakatende wilayani Musoma kwa tuhuma za kufanya kitendo cha ukatili cha kumng’oa meno matatu mke wake kwa kutumia plaizi kwa madai ya kutumia shilling mia mbili kumnunulia mtoto wao andazi.
Ni kweli anaweza kuin'goa CCM Madarakani 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀HUYO ANAWEZA HATA KUIN'GOA CCM MADARAKANI
🤣😂🤣😂Ni kweli anaweza kuin'goa CCM Madarakani 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Watu wa kanda ya ziwa wana ubabe wa kipunguani!Jeshi la polisi mkoa wa Mara liunamshikilia mtu mmoja aitwaye Mussa Abdalah mkazi wa kijiji cha Nyakatende wilayani Musoma kwa tuhuma za kufanya kitendo cha ukatili cha kumng’oa meno matatu mke wake kwa kutumia plaizi kwa madai ya kutumia shilling mia mbili kumnunulia mtoto wao andazi.
BonusJino la kwanza ni tsh 100
Jino la pili ni tsh 100,jumla ni tsh200
Sasa la tatu la nini mbona kama kazidisha
HR wa kataa ndoa co. limitedHalafu siku hizi Cute Wife unaleta habari za kutisha tisha tu vp unaelekea wapi?
Aiseee 😂😂😂😂.HR wa kataa ndoa co. limited