S Sappire JF-Expert Member Joined Mar 19, 2024 Posts 3,447 Reaction score 8,896 Jul 13, 2024 #41 Samia kaharibu sana uchumi.watu wamekuwa masikini wa kupindukia hadi kugombania shilingi miambilinkweli?.Nchi Iko hoi taabani kabisa.
Samia kaharibu sana uchumi.watu wamekuwa masikini wa kupindukia hadi kugombania shilingi miambilinkweli?.Nchi Iko hoi taabani kabisa.
Sol de Mayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2016 Posts 6,515 Reaction score 6,230 Jul 13, 2024 #42 Mkoa wa mara ukatili umerudi tena! Nasubiri surprise killer's ya moshi au arusha wivu wa mapenzi/mauwaji ya umiliki wa mali Njombe na iringa pametulia kidogo, wamebaki Arusha, moshi na Geita, kidogo na mbeya.
Mkoa wa mara ukatili umerudi tena! Nasubiri surprise killer's ya moshi au arusha wivu wa mapenzi/mauwaji ya umiliki wa mali Njombe na iringa pametulia kidogo, wamebaki Arusha, moshi na Geita, kidogo na mbeya.
Uta Uta JF-Expert Member Joined Feb 2, 2016 Posts 3,740 Reaction score 8,751 Jul 13, 2024 #43 Mi juzi demi kanilia afu 30 na mbususu hakunipa. Sasa nikawaza huyu angekuwa kala hiyo Hela huko Kwa kina mura sijui wangemng'oa Nini?
Mi juzi demi kanilia afu 30 na mbususu hakunipa. Sasa nikawaza huyu angekuwa kala hiyo Hela huko Kwa kina mura sijui wangemng'oa Nini?
Yoda JF-Expert Member Joined Jul 22, 2018 Posts 48,475 Reaction score 70,102 Oct 23, 2024 #44 Shadow7 said: Inasikitisha sana Click to expand... Hakika