Mume amng'oa meno mke wake kisa Tsh. 200!

hiyo ni highest level of insecurity
 
M NILIWAHI MWAMBIA DC MMOJA PALE TARIME HILI JINANMARA BADILISHENI LITAWATESA

UKISOMAAA BIBLIAA MARA N UCHUNGUU SO WALE JAMAAA MPAKA YESU ANARUDI MATUKIO KWAO N KAWAIDA TU NA MWENDELEZO
 
Watu wana njaa kiasi cha kumn'goa mke wako meno kwa Shilingi 200 tu? Kweli Wabongo muna matatizo ya akili poleni sana Wabongo .Bado mutaisoma namba..
 
Watu wa kanda ya ziwa wana ubabe wa kipunguani!
Yani wako uncivilized kabisa.
 
Uolewe na mtu wa Mara awe amepitia kada ya uaskari lazima unyeee

Haka kamtindo washawaambukiza na majirani zao na watani wao, kiujumla kanda ya nyonyo wanaume ni makatili vibaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…