Mume ana wivu

Mume ana wivu

Hivi tofauti kati ya wivu na insecurity ni nini? MJ1 please dadavua hapa.
Bigirita nikisoma katikati ya mistari ni kama vile unanituhumu mimi kuwa na wivu na gubu lol

Haya kaka nijuavyo mie
Wivu ni
1. Ile hali ya mtu kumwonea kijicho mwenzie kwamba anafaidi kushinda yeye.
2. Wivu (mzuri) wa mapenzi ni ile hali ya mtu kutaka mwenzie awe mali yake peke yake yaani amiliki yeye (Kwa maana ya kuwa penzi anapewa yeye peke yake)
Wivu (Mbaya) wa mapenzi - Ni ile hali ya mtu kutomuamini mwenzi wake kwa lolote lile hususani kimapenzi; ni ile hali ya kumhisi mpenzio kuwa anakucheat na kufaidisha wengine kila mara na kumghasi juu ya assumptions zako.

GUBU: Ni ile hali ya kuwa ma manung'uniko ya kila mara yaani wewe utendewe jema, walalama, utendewe baya walalama, usipotendewa kitu walalama.
 
Bigirita nikisoma katikati ya mistari ni kama vile unanituhumu mimi kuwa na wivu na gubu lol

Haya kaka nijuavyo mie
Wivu ni
1. Ile hali ya mtu kumwonea kijicho mwenzie kwamba anafaidi kushinda yeye.
2. Wivu (mzuri) wa mapenzi ni ile hali ya mtu kutaka mwenzie awe mali yake peke yake yaani amiliki yeye (Kwa maana ya kuwa penzi anapewa yeye peke yake)
Wivu (Mbaya) wa mapenzi - Ni ile hali ya mtu kutomuamini mwenzi wake kwa lolote lile hususani kimapenzi; ni ile hali ya kumhisi mpenzio kuwa anakucheat na kufaidisha wengine kila mara na kumghasi juu ya assumptions zako.

GUBU: Ni ile hali ya kuwa ma manung'uniko ya kila mara yaani wewe utendewe jema, walalama, utendewe baya walalama, usipotendewa kitu walalama.

MJ1 nilikuwa sijui kama kuna wivu mbaya na wivu mzuri mimi huwa najua kuna wivu tu si ndio :biggrin1:
 
Huyu sista alifanya mistake kwa kutokuacha 'usalama' nyumbani. Arudi, atafute house girl mkali hasa, amuache hom na amwambie mumewe, 'atulie nyumbani'...
 
Bigirita nikisoma katikati ya mistari ni kama vile unanituhumu mimi kuwa na wivu na gubu lol

Haya kaka nijuavyo mie
Wivu ni
1. Ile hali ya mtu kumwonea kijicho mwenzie kwamba anafaidi kushinda yeye.
2. Wivu (mzuri) wa mapenzi ni ile hali ya mtu kutaka mwenzie awe mali yake peke yake yaani amiliki yeye (Kwa maana ya kuwa penzi anapewa yeye peke yake)
Wivu (Mbaya) wa mapenzi - Ni ile hali ya mtu kutomuamini mwenzi wake kwa lolote lile hususani kimapenzi; ni ile hali ya kumhisi mpenzio kuwa anakucheat na kufaidisha wengine kila mara na kumghasi juu ya assumptions zako.

GUBU: Ni ile hali ya kuwa ma manung'uniko ya kila mara yaani wewe utendewe jema, walalama, utendewe baya walalama, usipotendewa kitu walalama.
hivi kuna visababishi katika hizi hali ulizozielezea? hebu nisaidie mtaalamu wa problem tree. hizo hali zote hapo zinasababishwa na nini? na ni kwa nini zipo tofauti kati ya mtu na mtu. Najua watu wapo tofauti, lakini najua kuna watu hawana problema na GUBU na kuna watu hawana problem na Wivu mbaya.

Root course please............kwa nini mtu anakuwa na wifu mbaya au GUBU?....Mtaalamu tafadhali tusaidie hapo
 
Huyu sista alifanya mistake kwa kutokuacha 'usalama' nyumbani. Arudi, atafute house girl mkali hasa, amuache hom na amwambie mumewe, 'atulie nyumbani'...

Dena Huyo Dada asiache kazi bali ajaribu jinsi ya kumtuliza mume wake na awe anapiga simu siyo amsubiri hadi mumewe ampigie.
 
hivi kuna visababishi katika hizi hali ulizozielezea? hebu nisaidie mtaalamu wa problem tree. hizo hali zote hapo zinasababishwa na nini? na ni kwa nini zipo tofauti kati ya mtu na mtu. Najua watu wapo tofauti, lakini najua kuna watu hawana problema na GUBU na kuna watu hawana problem na Wivu mbaya.

Root course please............kwa nini mtu anakuwa na wifu mbaya au GUBU?....Mtaalamu tafadhali tusaidie hapo

Nimejikuta nakumbuka Marangu Mtoni bila kutegemea.

Anyway ngoja niwaacheni na mtaalam wako ambaye pia ni mjukuu wangu.

Ila msichakachuane kwa sababu Malaria Haikubaliki!
 
Nimejikuta nakumbuka Marangu Mtoni bila kutegemea.

Anyway ngoja niwaacheni na mtaalam wako ambaye pia ni mjukuu wangu.

Ila msichakachuane kwa sababu Malaria Haikubaliki!

Mmmhhh Asprin una maneno nawe!!!
 
Ingekuwa mimi?

Skiza Wise... Nlichomuolea wifiyo ni kupata huduma ya uhakika na ya halali ya kikojoleo jinsia ya kike. Niko tayari niishi kimasikini lakini hicho kidude kisiwe mbali zaidi ya sentimita 10 toka nilipo nyakati za usiku. Sasa kwasababu alikubali mbele ya kiapo kuishi nami katika shida na raha, na kwakuwa mimi ndio kichwa cha nyumba, na kwakuwa mimi kimamlaka ndio napaswa kuhangaikia familia yangu: Safari ya ughaibuni itakayozidi miaka miwili isingekuwepo. Akikomaa, tunavunja mkataba wa vikojoleo vyetu kusalimiana!

Kwi kwi kwi nimecheka mimi mpaka hapa ofcn wananishangaa lol JF si mchezo. Mama matesha sidhani kama huwa ananuna uko nyumbani naanza kumuonea wivu. Tukirudi kwenye topic hapo kwenye bold hapo ingekuwa wanaume wote wanafanya hivyo basi wanawake wasingehangaika sana ila wanaume wengi hawatimizi mahitaji ya familia wanakazi ya kusema tu mimi ni kichwa cha familia na huyo mdada mumewe angekuwa anawajibika ipasavyo sidhani angeenda huko
 
Nimejikuta nakumbuka Marangu Mtoni bila kutegemea.

Anyway ngoja niwaacheni na mtaalam wako ambaye pia ni mjukuu wangu.

Ila msichakachuane kwa sababu Malaria Haikubaliki!
naona unasahau sheria........hivi wewe ni mhazini?
 
Jamani hivi lile kontena kule mbeya wamesema lina vipodozi ama makaratasi>? mwenye info anijuze:mmph:
 
Back
Top Bottom