Cleopatra 2
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 210
- 306
- Thread starter
-
- #61
YeahPicha yako
Yeye tu mkuukuna mwenzio hivyo hivyo kasema kuduu mpaka ndoa... sasa kasheshe siku kapata nyege na mshikaj hatak anamwambia ngoja tuoane kwanza... asaivi anatapa tapa atafanyaje kalala had kwa jamaa ila wapi..!!!
ngoja nije pm nione kama utanipa ushirikiano...!!!!Yeye tu mkuu
Noooooo!!!......... Namaanisha ulikuwa unaishi na mtu and suddenly unadai kuwa wewe ni bikira!!.......are you kidding?.... Huh???Kwani ukimpeleka mtu mahakamani bikra inatoka?
Karudie kusoma ile post nilimpeleke huyo mjinga mahakamaniNoooooo!!!......... Namaanisha ulikuwa unaishi na mtu and suddenly unadai kuwa wewe ni bikira!!.......are you kidding?.... Huh???
zinaanzishwa na wanaume walio jipa majina ya kikeHivi mbona nyuzi za kutafuta wanaume zimekua nyingi sana nowadays
DuhNgoja nije PM hakuna masharti magumu hapa.
Sidhani kama bikra wanajisemaga, mjegejo mpaka ndoa? Nenda Church ukatafute walokole