Mume anahitaji!

kuna mwenzio hivyo hivyo kasema kuduu mpaka ndoa... sasa kasheshe siku kapata nyege na mshikaj hatak anamwambia ngoja tuoane kwanza... asaivi anatapa tapa atafanyaje kalala had kwa jamaa ila wapi..!!!
Yeye tu mkuu
 
Noooooo!!!......... Namaanisha ulikuwa unaishi na mtu and suddenly unadai kuwa wewe ni bikira!!.......are you kidding?.... Huh???
Karudie kusoma ile post nilimpeleke huyo mjinga mahakamani
 
Wanaenda kupigwa watu hapa... Akikusanya elfu10, 10 kwa watu 100 na ID anabadilisha...
 
Dah sijui atakuwa mzuri au zombi angeweka kapicha ata kamoja ingekuwa mwake
 
Sidhani kama bikra wanajisemaga, mjegejo mpaka ndoa? Nenda Church ukatafute walokole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…