Mume anahitaji!

Mume anahitaji!

Duuuh bikra ilikuwa na thaman zaman ss hivi hakuna kitu mi nakutaka ila bikra siitaki kuanza kufundishana mapenz tena jamani duuuh unaijua hata Doggy style kweli ww ????
 
Kwa mara ya kwanza nimempata mtu mwenye sifa ninazohitaji ila hiyo 'Nb' imenitoa nduki![emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Wadau poleni na shughuli za ujenzi wa taifa.

Niende kwenye mada, nahitaji mume mwenye sifa zifuatazo.

Miaka kati ya 28 mpaka 38, mrefu, rangi yyte, dini yyte, kabila lolote, elimu yyote, kazi yyte. Awe anaishi popote Tanzania mwenye mapenzi ya dhati atafikiliwa zaid.

Sifa zangu utazipata ukija pm.

Kwa walio serious tu.

Nb: Mimi bado bikra kwa hiyo hakuna kudo mpaka ndoa.

Haya njooni sasa.
Na mimi hakuna kuniomba pesa mpaka ndoa.sawa?
 
Maisha magumu kweli siku izi yaan watu wanajianika hadharani kutafuta wanaume duh. ..Yesu rudi haraka uje uokoe kizaz hiki
 
mi penda penda sana ila sijajua kwann kwako nimesita kuja... kuna kitu hakipo sawa hapa...!!!!
 
Wadau poleni na shughuli za ujenzi wa taifa.

Niende kwenye mada, nahitaji mume mwenye sifa zifuatazo.

Miaka kati ya 28 mpaka 38, mrefu, rangi yyte, dini yyte, kabila lolote, elimu yyote, kazi yyte. Awe anaishi popote Tanzania mwenye mapenzi ya dhati atafikiliwa zaid.

Sifa zangu utazipata ukija pm.

Kwa walio serious tu.

Nb: Mimi bado bikra kwa hiyo hakuna kudo mpaka ndoa.

Haya njooni sasa.
nani anapenda mbuzi mlio, bila kujua rangi yake
 
Usikilize moyo wako mkuu
kuna mwenzio hivyo hivyo kasema kuduu mpaka ndoa... sasa kasheshe siku kapata nyege na mshikaj hatak anamwambia ngoja tuoane kwanza... asaivi anatapa tapa atafanyaje kalala had kwa jamaa ila wapi..!!!
 
Back
Top Bottom