Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyumba ndogo zimetelekezwa baada ya ukata kutamalaki.Hivi mbona nyuzi za kutafuta wanaume zimekua nyingi sana nowadays
😀😀😀😀😀😀 Aisee kuwa na huruma na mbavu zetu eti utalii wa ndaniKuishuhudia bikra bei gani!!
(kwa maana ya utalii wa ndani)
Hizi kitu zinatishia kutoweka kabisa mkuu!!!😀😀😀😀😀😀 Aisee kuwa na huruma na mbavu zetu eti utalii wa ndani
Nipm kwanza nione How Serious Upo!Wadau poleni na shughuli za ujenzi wa taifa.
Niende kwenye mada, nahitaji mume mwenye sifa zifuatazo.
Miaka kati ya 28 mpaka 38, mrefu, rangi yyte, dini yyte, kabila lolote, elimu yyote, kazi yyte. Awe anaishi popote Tanzania mwenye mapenzi ya dhati atafikiliwa zaid.
Sifa zangu utazipata ukija pm.
Kwa walio serious tu.
Nb: Mimi bado bikra kwa hiyo hakuna kudo mpaka ndoa.
Haya njooni sasa.
Ubikra sio kigezo…mpaka unaamua kutafuta bwana humu/kupitia JF yawezekana mtaani kwako wewe ni MSHENZI wa tabia...!Wadau poleni na shughuli za ujenzi wa taifa.
Niende kwenye mada, nahitaji mume mwenye sifa zifuatazo.
Miaka kati ya 28 mpaka 38, mrefu, rangi yyte, dini yyte, kabila lolote, elimu yyote, kazi yyte. Awe anaishi popote Tanzania mwenye mapenzi ya dhati atafikiliwa zaid.
Sifa zangu utazipata ukija pm.
Kwa walio serious tu.
Nb: Mimi bado bikra kwa hiyo hakuna kudo mpaka ndoa.
Haya njooni sasa.
Kazi ipo kwelikwelipicha tafadhali
hahahhhh ili watu waamini anataka kuwauzia mbuzi kwenye guniaKazi ipo kwelikweli