Mume anahitajika 36+

Mume anahitajika 36+

Habari wana JF,

Natafuta mume aliye tayari kuwa nami katika hali zote, mimi nina umri wa miaka 34, mwalimu wa shule moja ya sec mjini Mwanza.

Nilibahatika kuolewa lakini bahati mbaya nilitendwa vibaya na nikaamua kuachia ngazi, nina watoto wawili wa kike na ni mkristo.

Mume nimtakaye awe na sifa zifuatazo awe na miaka 36+, rangi yoyote, kabila lolote, dini mkristo, asiwe mnywa pombe wala mvuta sigara, ajue thamani ya mke na awe tayari kulea watoto wangu.

Mwenye uhitaji kama wangu karibu PM tuyajenge, astalavista..
Nipo 0742302926
 
Habari wana JF,

Natafuta mume aliye tayari kuwa nami katika hali zote, mimi nina umri wa miaka 34, mwalimu wa shule moja ya sec mjini Mwanza.

Nilibahatika kuolewa lakini bahati mbaya nilitendwa vibaya na nikaamua kuachia ngazi, nina watoto wawili wa kike na ni mkristo.

Mume nimtakaye awe na sifa zifuatazo awe na miaka 36+, rangi yoyote, kabila lolote, dini mkristo, asiwe mnywa pombe wala mvuta sigara, ajue thamani ya mke na awe tayari kulea watoto wangu.

Mwenye uhitaji kama wangu karibu PM tuyajenge, astalavista..
Yaani usingebagua dini Mimi ningekuwa tayari maana kwa miaka hiyo tinge. Patana tu sasa dini ,hivi wewe unamuamini mungu yupi
 
Mme wako wa zamani anaishi wapi? Maana kuna kurudi kukumbushia, si unajua kuwa mtalaka hatongozwi?
 
Habari wana JF,

Natafuta mume aliye tayari kuwa nami katika hali zote, mimi nina umri wa miaka 34, mwalimu wa shule moja ya sec mjini Mwanza.

Nilibahatika kuolewa lakini bahati mbaya nilitendwa vibaya na nikaamua kuachia ngazi, nina watoto wawili wa kike na ni mkristo.

Mume nimtakaye awe na sifa zifuatazo awe na miaka 36+, rangi yoyote, kabila lolote, dini mkristo, asiwe mnywa pombe wala mvuta sigara, ajue thamani ya mke na awe tayari kulea watoto wangu.

Mwenye uhitaji kama wangu karibu PM tuyajenge, astalavista..
Me tatizo Nina miaka 34
 
Hapo kwenye watoto wawili ni sawa na timu ya mpira kuongoza mbili bila kabla mpira haujaanza.
 
Ni kweli,lakin inategemea na mtu kama yuko tayar kwa hilo mpenzi,wengi wanastop then wakipata changamoto kidogo wanarud kunywa ili kupunguza stress
Utampa stress tena Mmh au hutatulia
 
Mi naonja Pombe kidogooooo nisha kosa jiko hapa
 
Wewe kama ni mnada basi nyumba za Lugumu, hakuna mteja.

Kwanza hueleweki unataka mume au UNICEF?

Mwanaume asiyekunywa pombe hata kichwa yake huwa haiko sawasawa.
Naheshim mtazamo wako,asante
 
Habari wana JF,

Natafuta mume aliye tayari kuwa nami katika hali zote, mimi nina umri wa miaka 34, mwalimu wa shule moja ya sec mjini Mwanza.

Nilibahatika kuolewa lakini bahati mbaya nilitendwa vibaya na nikaamua kuachia ngazi, nina watoto wawili wa kike na ni mkristo.

Mume nimtakaye awe na sifa zifuatazo awe na miaka 36+, rangi yoyote, kabila lolote, dini mkristo, asiwe mnywa pombe wala mvuta sigara, ajue thamani ya mke na awe tayari kulea watoto wangu.

Mwenye uhitaji kama wangu karibu PM tuyajenge, astalavista..
Npo mwz nambie tukutane wapi mama.
Maaana unafaa ktk kuyajenga aise.
 
Huyu anasumbua bwana mie nimeenda mpaka Mwanza namtafuta anaingia mitini
 
Kwanini mtu anaejiunga tuu Jf huanza na mume au mke anahitajika kwani wanakujaga kutafuta wa chumba humu
 
Habari wana JF,

Natafuta mume aliye tayari kuwa nami katika hali zote, mimi nina umri wa miaka 34, mwalimu wa shule moja ya sec mjini Mwanza.

Nilibahatika kuolewa lakini bahati mbaya nilitendwa vibaya na nikaamua kuachia ngazi, nina watoto wawili wa kike na ni mkristo.

Mume nimtakaye awe na sifa zifuatazo awe na miaka 36+, rangi yoyote, kabila lolote, dini mkristo, asiwe mnywa pombe wala mvuta sigara, ajue thamani ya mke na awe tayari kulea watoto wangu.

Mwenye uhitaji kama wangu karibu PM tuyajenge, astalavista..
Sasa unaweka masharti ya kutokunywa pombe! Hapo unataka mume,au poyoyo!!?
 
Back
Top Bottom