Mume anahitajika 36+

Mume anahitajika 36+

Wewe tabia za kike za kujua thamani ya mume au unataka mume ajue thamani yako alafu.wewe usijue thamani ya mume
 
Habari wana JF,

Natafuta mume aliye tayari kuwa nami katika hali zote, mimi nina umri wa miaka 34, mwalimu wa shule moja ya sec mjini Mwanza.

Nilibahatika kuolewa lakini bahati mbaya nilitendwa vibaya na nikaamua kuachia ngazi, nina watoto wawili wa kike na ni mkristo.

Mume nimtakaye awe na sifa zifuatazo awe na miaka 36+, rangi yoyote, kabila lolote, dini mkristo, asiwe mnywa pombe wala mvuta sigara, ajue thamani ya mke na awe tayari kulea watoto wangu.

Mwenye uhitaji kama wangu karibu PM tuyajenge, astalavista..
picha nikuone
 
Mtetea kutafuta jogoo siyo ustaarabu kabisa!![emoji53][emoji53][emoji53]
 
Nna sifa zote tatzo ni moja tu,,Mi makula bhange na kulipuliza
 
YAANI JAMAA ALISHAJIPONGEZA HUKO MUDA WOOTE HUO MPAKA AKAKUZALISHA WATOTO WA-2,..UTAMPATA WAPI MWANAUME MJINGA HIVYO WA KUBEBA MIZIGO ILIYOACHIKA,HALAFU NA WATOTO WAWILI JUU.KWANI WANAWAKE WAMEKOSEKANA MPAKA MTU AKAOE MATATIZO YOTE HAYO ? KAMA UNGEKUWA FAIR ENOUGH,ANGALAO MOJA YA SIFA ZA HUYO MUME MTARAJIWA UNGESEMA KWAMBA NA YEYE NI LAZIMA AWE NA WATOTO WAWILI(TENA WADOGO,UMRI USIZIDI 5YRS) AMBAO MAMA YAO HAO WATOTO AMEGOMA KUWALEA(AKAMSUSIA HUYO MUME MTARAJIWA),ILI HIYO EQUATION KWENYE NDOA YENU TARAJIWA IWEZE KU-BALANCE.HAPO NINGEKUONA UNA AKILI JAPO KIDOGO....OTHER WISE,LEA NA BEBA HUO MZIGO WAKO MWENYEWE !!
 
Mkuu mbona watu wengi tu wameoa wanawake wenye watoto na wao hawana! Mitazamo aina yako mara nyingi wanayo wenye umri 30 kushuka chini.
 
Mama mume hapatikani hapa angalia umri wako ushaenda sana muombe mungu ndo atakupa mume bora
 
Habari wana JF,

Natafuta mume aliye tayari kuwa nami katika hali zote, mimi nina umri wa miaka 34, mwalimu wa shule moja ya sec mjini Mwanza.

Nilibahatika kuolewa lakini bahati mbaya nilitendwa vibaya na nikaamua kuachia ngazi, nina watoto wawili wa kike na ni mkristo.

Mume nimtakaye awe na sifa zifuatazo awe na miaka 36+, rangi yoyote, kabila lolote, dini mkristo, asiwe mnywa pombe wala mvuta sigara, ajue thamani ya mke na awe tayari kulea watoto wangu.

Mwenye uhitaji kama wangu karibu PM tuyajenge, astalavista..
Wewe kama ni mnada basi nyumba za Lugumu, hakuna mteja.

Kwanza hueleweki unataka mume au UNICEF?

Mwanaume asiyekunywa pombe hata kichwa yake huwa haiko sawasawa.
 
Back
Top Bottom