harder king
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 3,970
- 6,907
[emoji125] [emoji125] [emoji125] tumeanza lini kuigana mkuuNaona x wako mliachana kwa ulevi wake,.. si ndiyo? basi siyo walevi wote ni wabaya mi hata kama sina hela ya kulewea mke wangu ananipa nikalewe maana nikiwa high huwa nampenda na nakuwa romantic kwake sana. bila kulewa hata kuongea ndani ya nyumba inakuwa shida basi anakuwa bored mpaka anadhamini nikapige mbili na nyagi ndogo basi nikishakunywa niambie hiyo spidi ninayomrudia sasa, utaipenda
Nleterewa nganengo au nganingo?[emoji12]Aisee hizi balimi ndo zishanikosesha ubavu wangu, bibie nipe angalau mwaka 1 basi nifanye mazoezi ya kuacha.
hahahaaaa[emoji125] [emoji125] [emoji125] tumeanza lini kuigana mkuu
for sure, yanapoa na ku-boreDuh! Hii kiboko....kwamba no pombe no mapenzi motomoto
Ivyo ivyo ndo sahihi comrediNleterewa nganengo au nganingo?[emoji12]
Sawa comredi tuikuze lugha yetu[emoji125] [emoji125]Ivyo ivyo ndo sahihi comredi
Ikyo nkyo kidedo meku.Sawa comredi tuikuze lugha yetu[emoji125] [emoji125]
Sawe meku oko!Ikyo nkyo kidedo meku.
Unatatizo kubwa la kisaikolojia.for sure, yanapoa na ku-bore