Mume anahitajika 36+

Mume anahitajika 36+

Naona x wako mliachana kwa ulevi wake,.. si ndiyo? basi siyo walevi wote ni wabaya mi hata kama sina hela ya kulewea mke wangu ananipa nikalewe maana nikiwa high huwa nampenda na nakuwa romantic kwake sana. bila kulewa hata kuongea ndani ya nyumba inakuwa shida basi anakuwa bored mpaka anadhamini nikapige mbili na nyagi ndogo basi nikishakunywa niambie hiyo spidi ninayomrudia sasa, utaipenda
[emoji125] [emoji125] [emoji125] tumeanza lini kuigana mkuu
 
Kama unatafuta mume wa kukulelea watoto kwa awamu hii itakuwia vigumu sana ...
 
Hapo kwenye Pombe nimekosa sifa hivi hivi
 
wakat wako wakufurahi umewadia endapo2 ukiweza kuwajua waoaji nawapitaj
 
Mimi nina umri ea miaka 60 na injini ya mashini yangu bado haijawa "overhauled". Utanifikiria?
 
Back
Top Bottom