Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,320
Miaka mi3,,
Miaka 3 hujawahi kuwa na mwanaume?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka mi3,,
Jamanii,,,wapo wanaopenda sigara dear,,duh ina maana fegi nazo zinatukosesha wake? sasa ma-Don kama kina P Didy wanaovuta ciger si wangekosa wakuoa kabisa duh
Nitakudanganya,,alikuwepoMiaka 3 hujawahi kuwa na mwanaume?!
Nitakudanganya,,alikuwepo
Njoo PM nitakujibu maswali yako yoteKwann mliachana nae?!mlikuwa pamoja kwa mida gani?!
Habari wana JF,
Natafuta mume aliye tayari kuwa nami katika hali zote, mimi nina umri wa miaka 34, mwalimu wa shule moja ya sec mjini Mwanza.
Nilibahatika kuolewa lakini bahati mbaya nilitendwa vibaya na nikaamua kuachia ngazi, nina watoto wawili wa kike na ni mkristo.
Mume nimtakaye awe na sifa zifuatazo awe na miaka 36+, rangi yoyote, kabila lolote, dini mkristo, asiwe mnywa pombe wala mvuta sigara, ajue thamani ya mke na awe tayari kulea watoto wangu.
Mwenye uhitaji kama wangu karibu PM tuyajenge, astalavista..
NjooNjoo PM nitakujibu maswali yako yote
dah umepost ki-romantic mpk moyo umepata raha sijaitwa dear kama miezi 6 hiviJamanii,,,wapo wanaopenda sigara dear,,
Ni kweli,lakin inategemea na mtu kama yuko tayar kwa hilo mpenzi,wengi wanastop then wakipata changamoto kidogo wanarud kunywa ili kupunguza stressdada yangu mengine yanarekebishika ndani, mfano hilo la pombe!
Hahahah,, karibuSalama, mimi nafikiri ndo mungu amekushushia njoo tulee watoto mimi ninao watano
Asante dearKila la heri mamy
Usijali,Bangi ndizo zimeharibu ila ulikuwa wangu kabisa
Nimekudhi vigezo ila kwenye uvutaji sigara sivuti zaidi natumia bangi na shisha kama uko tayari twende inbobo.Habari wana JF,
Natafuta mume aliye tayari kuwa nami katika hali zote, mimi nina umri wa miaka 34, mwalimu wa shule moja ya sec mjini Mwanza.
Nilibahatika kuolewa lakini bahati mbaya nilitendwa vibaya na nikaamua kuachia ngazi, nina watoto wawili wa kike na ni mkristo.
Mume nimtakaye awe na sifa zifuatazo awe na miaka 36+, rangi yoyote, kabila lolote, dini mkristo, asiwe mnywa pombe wala mvuta sigara, ajue thamani ya mke na awe tayari kulea watoto wangu.
Mwenye uhitaji kama wangu karibu PM tuyajenge, astalavista..