Mume anahitajika

Mume anahitajika

Kama ukijaribiwa na mume wa mtu, utamtambuaje hata usimjibu...[emoji15] [emoji15]
Ebu kuwa mtulivu and focuse kwenye kile unacho kihitaji ni. Lakini ukianza kujikata ngwala kama hivi, hautachelewa kuangukia pua aiseeee....
kwani we unafikiri tunakutana asubuhi tuna lala jion hahahaaaaaaa iyo noooooooooooooooooooooooo
 
Kwa majibu haya utakuwa single mama!
Ebu ngoja kwanza mkuu.......
Ebu jaribu kutazama familia ilio kuzunguka kama Mama, Dada, Shangazi na wanao kuita baba (mabinti).
Kwani kuwa single mom ni dhambi..[emoji34] [emoji34], na hata kama..... yawezekana hata yeye hakupenda iwe hivyo aiseeeeee......
Shunie
 
Awe mkristo awe na kazi halali kwa Mungu na jamii awe na akili timamu, awe mwelewa ugomvi sipendi, awe na umri kati ya miaka 32-38
Mimi ni mkristo ni mrefu umbo la kawaida na ni mweusi.
Waume za watu sitaki, na ukinijaribu sitakujibu
Dah.... Hivi stamina ya mwili mbona hamuizungumzii?[emoji87] [emoji12]
 
Njoo tuwasiliane. Am 29 yrs old. Mkristu KKKT. Nipo morogoro na ni mtumishi
 
1. Umri wako
2. Wasifu wako
3. Dini yako
4. Elimu yako
5. Kazi yako
6. Mileage yako ( umewahi kutembea na wanaume wangapi)
7. Sababu zilizopelekea usiolewe na mmoja kati ya uliotembea nao
8. Mahali ulipo
9. Una mtoto/watoto; kama ndiyo baba yuko wapi?

Ukiyajibu hayo maswali utapunguza kadhia ya kuulizwa ulizwa maswali mengi.

NB: ID ya zamani uwe tayari kuitaja kwa atayekuja PM
😀 kwamba katembea kilomita ngapi!!! asee tusiwakatishe tamaa
 
[emoji117][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Awe mkristo awe na kazi halali kwa Mungu na jamii awe na akili timamu, awe mwelewa ugomvi sipendi, awe na umri kati ya miaka 32-38
Mimi ni mkristo ni mrefu umbo la kawaida na ni mweusi.
Waume za watu sitaki, na ukinijaribu sitakujibu
Mume hapatikani kinamna hiyo, kama unasubiri ndoa kinamna hiyo. Utazeeka single, yaani uko ulipo ukose mume hadi uje mtandaoni.

Jitathmini kwanza kuna tatizo gani hadi ukafikia wakukwepe, sidhani huko mtaani hakuna mwanaume. Tatizo lipo kwako
 
😀 kwamba katembea kilomita ngapi!!! asee tusiwakatishe tamaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji97] [emoji97] [emoji97] [emoji97]
 
Eti mwenye kazi inayoeleweka... Wewe una kazi gani?

Tangia lini mwanamke una sort wanaume kama jungu... Jipange, wewe hufai kuolewa...

Inamaana koote ulikopita hawajakuona...
Kizuri chajiuza
 
Ebu ngoja kwanza mkuu.......
Ebu jaribu kutazama familia ilio kuzunguka kama Mama, Dada, Shangazi na wanao kuita baba (mabinti).
Kwani kuwa single mom ni dhambi..[emoji34] [emoji34], na hata kama..... yawezekana hata yeye hakupenda iwe hivyo aiseeeeee......
Shunie
asante ye mwenyewe utakuta katoka kwenye familia ya single mama
 
Back
Top Bottom