- Thread starter
- #41
Age ilishakuacha that's why umejaa hasira.
Uko kama mwanaume hujaolewa, ukiolewa je?
Pambana na Hali Yako Bi we unajua umri wangu au umefyatuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Age ilishakuacha that's why umejaa hasira.
Uko kama mwanaume hujaolewa, ukiolewa je?
Pambana na Hali Yako Bi we unajua umri wangu au umefyatuka
hahahaha rahaUna wowowo?
kwani we unafikiri tunakutana asubuhi tuna lala jion hahahaaaaaaa iyo nooooooooooooooooooooooooKama ukijaribiwa na mume wa mtu, utamtambuaje hata usimjibu...[emoji15] [emoji15]
Ebu kuwa mtulivu and focuse kwenye kile unacho kihitaji ni. Lakini ukianza kujikata ngwala kama hivi, hautachelewa kuangukia pua aiseeee....
Ebu ngoja kwanza mkuu.......Kwa majibu haya utakuwa single mama!
Dah.... Hivi stamina ya mwili mbona hamuizungumzii?[emoji87] [emoji12]Awe mkristo awe na kazi halali kwa Mungu na jamii awe na akili timamu, awe mwelewa ugomvi sipendi, awe na umri kati ya miaka 32-38
Mimi ni mkristo ni mrefu umbo la kawaida na ni mweusi.
Waume za watu sitaki, na ukinijaribu sitakujibu
we unadhani kwakuwa naitaji kuolewa nichukue kila anaye kuja siitaji ndoa ya wiki 1 au mwk 1 naitaji ndoa ya maisha
😀 kwamba katembea kilomita ngapi!!! asee tusiwakatishe tamaa1. Umri wako
2. Wasifu wako
3. Dini yako
4. Elimu yako
5. Kazi yako
6. Mileage yako ( umewahi kutembea na wanaume wangapi)
7. Sababu zilizopelekea usiolewe na mmoja kati ya uliotembea nao
8. Mahali ulipo
9. Una mtoto/watoto; kama ndiyo baba yuko wapi?
Ukiyajibu hayo maswali utapunguza kadhia ya kuulizwa ulizwa maswali mengi.
NB: ID ya zamani uwe tayari kuitaja kwa atayekuja PM
Touch profile yake utakuta kitufe cha message then touch alafu utakuta sehemu ya kuchart naeWengine hatujui pm maana yake,nieleweshwe ,njoo mama ntakupata vipi sasa
😀 kwamba katembea kilomita ngapi!!! asee tusiwakatishe tamaa
Mume hapatikani kinamna hiyo, kama unasubiri ndoa kinamna hiyo. Utazeeka single, yaani uko ulipo ukose mume hadi uje mtandaoni.Awe mkristo awe na kazi halali kwa Mungu na jamii awe na akili timamu, awe mwelewa ugomvi sipendi, awe na umri kati ya miaka 32-38
Mimi ni mkristo ni mrefu umbo la kawaida na ni mweusi.
Waume za watu sitaki, na ukinijaribu sitakujibu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]😀 kwamba katembea kilomita ngapi!!! asee tusiwakatishe tamaa
Niunganishie basi[emoji40] [emoji85]Kila la heri mamy
[emoji2] [emoji2] [emoji2] Una sifa anazozihitaji?Niunganishie basi[emoji40] [emoji85]
Si ndo hapo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]kwani umelazimishwa
asante ye mwenyewe utakuta katoka kwenye familia ya single mamaEbu ngoja kwanza mkuu.......
Ebu jaribu kutazama familia ilio kuzunguka kama Mama, Dada, Shangazi na wanao kuita baba (mabinti).
Kwani kuwa single mom ni dhambi..[emoji34] [emoji34], na hata kama..... yawezekana hata yeye hakupenda iwe hivyo aiseeeeee......
Shunie