Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Yaani inaonekana ni hatari. unajua kuifahamu tabia ya mtu si lazima umfahamu, ni jinsi anavyo ji present hapaKwa majibu haya!!
Hata wanifunge pingu siowi mwanamke wa hivi
Wewe una umri gani?Awe mkristo awe na kazi halali kwa Mungu na jamii awe na akili timamu, awe mwelewa ugomvi sipendi, awe na umri kati ya miaka 32-38
Mimi ni mkristo ni mrefu umbo la kawaida na ni mweusi.
Waume za watu sitaki, na ukinijaribu sitakujibu
nakupenda, I LOVE YOU.Kila la heri mamy
Asante!nakupenda, I LOVE YOU.
Haya subiri mwenye mawazo ya 2700 kama hujazalia nje ya ndoauna mawazo ya 1700 kaoge
Weka Picha basi tukuone jamaniAwe mkristo awe na kazi halali kwa Mungu na jamii awe na akili timamu, awe mwelewa ugomvi sipendi, awe na umri kati ya miaka 32-38
Mimi ni mkristo ni mrefu umbo la kawaida na ni mweusi.
Waume za watu sitaki, na ukinijaribu sitakujibu
Sorry, huyu ni nani yako??sina asira, niwe na asila nawe kwani unanitunza anayenitunza ajanichoka
HAHANdo maana hujaolewa
Njoo dmAwe mkristo awe na kazi halali kwa Mungu na jamii awe na akili timamu, awe mwelewa ugomvi sipendi, awe na umri kati ya miaka 32-38
Mimi ni mkristo ni mrefu umbo la kawaida na ni mweusi.
Waume za watu sitaki, na ukinijaribu sitakujibu