Mume anapatikana hapa

igihumbi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2017
Posts
529
Reaction score
483
Habari wapendwa? Kama kichwa cha habari kinavyo sema mume anapatikana hapa kama ulikuwa unahitaji mume basi hapa umepata.
Umri wangu ni miaka 25 Kiukweli nimekuwa nikitafuta mke mwanye vigezo ambavyo navihitaji ila sijafanikiwa naimani kupitia ujumbe huu leo mke nitapata.
*Mimi ni mkristo ( msabato)
*Nimejiajiri
*Nina jitegemea kimaisha nina uwezo wa kumudu majukumu.
*Ninaupendo wa dhati

VIGEZO VYA MKE NINAE MUHITAJI
* AWE ANAWEZA KUMUDU MAJUMUKUMU YEYE KAMA MKE.
*AWE NA UPENDO WA DHATI
*AWE NA HOFU NA MUNGU
asanteni nitaleta mrejesho.
TAFADHARI NAHITAJI MKE
 
huwa siangalii miaka bali heshima na upendo maana hata nikikupita miaka kama huna heshima na upendo ni kazi bure.
We jifanye hujali umri atakuja bi FaizaFoxy
Ujue hana bwana yule bibi ohoooo.... shauri yako πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Samahani FaizaFoxy natania tu shikamoo madame.. πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸ™Œ
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]utani wa ngumi huu
 
Kwa hiyo wewe kwako hata kibibi fresh tu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] binti mrembo sana faiza
 
ukaribu wako na yy utajua mengi na yasiwe mahusiano ya kwenye simu.
 
kaka usiende timna bwana hekaluni kote umekosa ,rudi kanisani muombe Mungu atakupatia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…