Habari wapendwa? Kama kichwa cha habari kinavyo sema mume anapatikana hapa kama ulikuwa unahitaji mume basi hapa umepata.
Umri wangu ni miaka 25 Kiukweli nimekuwa nikitafuta mke mwanye vigezo ambavyo navihitaji ila sijafanikiwa naimani kupitia ujumbe huu leo mke nitapata.
*Mimi ni mkristo ( msabato)
*Nimejiajiri
*Nina jitegemea kimaisha nina uwezo wa kumudu majukumu.
*Ninaupendo wa dhati
VIGEZO VYA MKE NINAE MUHITAJI
* AWE ANAWEZA KUMUDU MAJUMUKUMU YEYE KAMA MKE.
*AWE NA UPENDO WA DHATI
*AWE NA HOFU NA MUNGU
asanteni nitaleta mrejesho.
TAFADHARI NAHITAJI MKE
Umri wangu ni miaka 25 Kiukweli nimekuwa nikitafuta mke mwanye vigezo ambavyo navihitaji ila sijafanikiwa naimani kupitia ujumbe huu leo mke nitapata.
*Mimi ni mkristo ( msabato)
*Nimejiajiri
*Nina jitegemea kimaisha nina uwezo wa kumudu majukumu.
*Ninaupendo wa dhati
VIGEZO VYA MKE NINAE MUHITAJI
* AWE ANAWEZA KUMUDU MAJUMUKUMU YEYE KAMA MKE.
*AWE NA UPENDO WA DHATI
*AWE NA HOFU NA MUNGU
asanteni nitaleta mrejesho.
TAFADHARI NAHITAJI MKE